Noti bandia zawafikisha askari kizimbani
Na Samwel Mwanga, Simiyu
ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi na Magereza waliokamatwa na noti bandia na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, wakikabiliwa na makosa mawili.
Washtakiwa hao ambao ni wenye namba H 2420 PC Seleman Juma (25) aliyekuwa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na B. 6499 Wdr Edmund Masaga (28) wa Gereza la Wilaya ya Bariadi, walifikishwa mahakamani hapo juzi mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Watengeneza noti bandia wanaswa Dar
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.
Na Mwandishi wetu
Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za Dolla milioni moja na sitini na nne ambazo ni sawa na sh bilioni moja milioni mia saba na mbili na laki nne.
Kamanda Kova alisema tukio hilo lilitokea mnamo Agosti 4 huko Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni.
Kova alisema polisi walipata taarifa toka kwa wasamaria wema...
9 years ago
Habarileo24 Nov
Wasiosikia waelimishwa kutambua noti bandia
WATU wenye ulemavu wa kutosikia mkoani Simiyu wameanza kupatiwa mafunzo na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) juu ya kutambua noti bandia na halali na njia sahihi za kutunza fedha.
11 years ago
Habarileo04 Mar
Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia
POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Akiri kukutwa na noti bandia Sh70,000
11 years ago
Habarileo09 Feb
Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia
POLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.
11 years ago
Michuzi17 Jun
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mchina kizimbani kwa kuchana noti ya Sh10,000