MTO MBEZI WAGEUKA TISHIO KWA WAKAZI WA GOBA
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqpSNmfMdwnd-D4tsqcU4IzpfdNeT0u07i1XIjbA2AxVPqXYI*A51BX560xEpsMbxsMp7j-Rp2YhrD9hzSU*Lrur/IMG_2880.jpg?width=650)
Wakazi wa pembezoni mwa Mto Mbezi wakivuka mto kuelekea upande wa pili. Wakazi wakiendelea kuvuka mto. Mto Mbezi unaotembea kuanzia Mbezi Kimara kupitia Makongo juu B mpaka Goba kuelekea Kawe hadi baharini, umekuwa tishio kwa wakazi wa maeneo ya karibu na mto huo kwani hautabiriki na hata kipindi cha jua…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
TAMWA yawapongeza wakazi wa Mbezi Msuguri kwa kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia
Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka.
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimewapongeza wakazi wa mtaa wa Msigwa-Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Saaam, kwa kuchukua hatua za pamoja kulaani kitendo cha kulawiti kilichofanywa na Joachim Anset Shirima (40) kwa mtoto mwenye umri wa miaka (4).
Taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka, alisema Shirima alifanya tukio hilo hivi karibuni.
Alisema tukio hilo...
11 years ago
MichuziYaleyaleeee......uchimbaji mchanga mto mbezi jijini Dar es salaam waendelea kama kawa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LjCf9sd3oW4/VXkVY_nZppI/AAAAAAAAQzg/YDqOYaYS77Y/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LaPsJXjmjY/VXkVZVTjbSI/AAAAAAAAQzk/9OQw9osZvsQ/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
TAMWAyapongeza wakazi Mbezi Msuguri
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimewapongeza wakazi wa mtaa wa Msigwa-Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Saaam, kwa kuchukua hatua za pamoja kulaani kitendo cha kulawiti kilichofanywa na Joachim...
10 years ago
GPLLOWASSA AHUTUBIA WAKAZI WA MTO WA MBU, ARUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7lMtAg1JqZEHDIK2S1HWQ7n7fVFoiCtSM45M-onNoi2aBn8pE05yFrKiXNu8EWLhykTnfSpIfmQjdNV6p*4Ix5*/1.jpg?width=650)
MAZINGIRA YA MTO SIMIYU YANAVYONUFAISHA WAKAZI WAKE
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii
Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...
9 years ago
StarTV19 Dec
Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua
Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.
Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.
Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...