Mtoto aliyefaulu la saba nusura atolewe kafara
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni mganga mmoja wa jadi anayedaiwa kuteka watoto kwa njia za kishirikina kwa ajili ya kutolewa kafara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPz5Hd78giw8oQuJz7BCakMuOFJ10l4eLjkk*D9pvrxyQqXFBHai3WFgvFLrjLxOr62EqB0dxR9LI83wTiODcKDc/MADAI.jpg?width=650)
MTOTO WA MBARAKA MWISHEHE NUSURA AUE!
11 years ago
GPLMBWA WALIOMLA MTOTO NUSURA WAMLE BABA MTU
10 years ago
GPLNIA YA UDIWANI KATA YA SEGEREA NUSURA UMTOE ROHO MTOTO WA MASSABURI
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Nia ya Udiwani kata ya Segerea nusura imtoe roho mtoto wa Massaburi
Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea, Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea na matibabu.
Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea, Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea kuuguza majeraha baada ya kujeruhiwa kwa mapanga nyumbani kwake Segerea jijini Dar es Salaam jana na watu wasiojulikana. Kushoto anayemuhudumia ni jamaa yake Martin Pemba.
Na Dotto Mwaibale
WATU wasiojulikana wamejeruhi kwa mapanga Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya...
10 years ago
CloudsFM23 Oct
MHESHIMIWA TEMBA, SAID FELA KUMSOMESHA MTOTO WA MAREHEMU Y.P KWA MIAKA SABA
Msanii kutoka kundi la TMK Wanaume,Mh.Temba na na mlezi wa kundi hilo Said fela wamejitolea kumsomesha kwa miaka saba mtoto wa aliyekuwa msanii wa Bongo Flava kutoka kundi hilo aliyefariki usiku wa kuamkia juzi na kuzikwa jana katika makaburi ya chang’ombe, marehemu Yesaya Ambilikile’Y.P’.
Marehemu ameacha mtoto mmoja wa kiume anayeitwa Ambilikile, Fella amesema kuwa atahakikisha mtoto huyo anapata elimu kwani ndiyo msingi mkuu wa maisha ya mwanadamu.
Mh. Temba pia amefunguka kuwa milango...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5miP-7z4XJ-yFVZmna7U0Gteb9wdJ7Xa5DLro3wUuQa391vsLXvJ4a2EzoBbIt-1pzgdJG4J6npRsqPRYQYY734U/ajali.jpg)
AJALI MUSOMA YADAIWA NI KAFARA!
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’
SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Kwanini JK amemtoa kafara Jaji Warioba?
WAHENGA wanasema rafiki yako ndiye adui yako. Wengine wakasema akumulikaye mchana usiku atakuchoma. Hivi ndivyo alivyofanyiwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Jaji Warioba amekejeliwa...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Mwanasheria Mkuu ZNZ ametolewa kafara?