Mtuhumiwa dawa za kulevya atoa kete 82
Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimesema mtuhumiwa Mashusha Matata hadi sasa ameshatoa kete 82 za dawa ya kulevya aina cocaine zenye thamani Sh83.6 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Dec
Mtuhumiwa wa dawa za kulevya aanguka kortini
MSHTAKIWA Hamis Malindo (30), anayekabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya, ameanguka katika chumba cha Mahakama baada ya kusomewa mashitaka yanayomkabili.
5 years ago
Michuzi
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
9 years ago
Michuzi
Mwanasheria Mkuu wa Serikali alia na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya

Maombi hayo dhidi ya Muharami na mkewe yaliwasilishwa kwa hati ya dharura mahakamani hapo Septemba 13, mwaka huu mbele ya Jaji Wilfred...
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Hai. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.
Dk Slaa ambaye ni shahidi wa nane wa upande wa mashitaka, alitoa ushahidi huo...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi
10 years ago
Mwananchi20 May
Biashara ya dawa za kulevya
10 years ago
Habarileo02 Aug
Utumiaji dawa za kulevya waongezeka
MATUMIZI ya dawa za kulevya nchini yameongezeka kwenye mikoa 12 nchini yakionesha dawa aina ya heroini na bangi zikiongoza kwa kutumiwa zaidi.