Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUALIKO WA SHEREHE ZA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIA NA UFUNGUZI WA UKUMBI WA KUDUMU WA SANAA.

Kila Tar 18 Mei Jamii husherekea siku ya Makumbusho Duniani, hapa Tanzania sherehe hizi Kitaifa zitafanyika Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar Es Salaam. Katika siku hii muhimu, Makumbusho ya Taifa inatarajia kuufungua rasmi Ukumbi wa Maonesho ya kudumu ya Sanaa.
Kutokana na umuhimu wa siku hii Makumbusho ya Taifa inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Makumbusho ya Taifa ili kujifunza mambo mbali mbali kupitia vitu na naarifa zinazothaminiwa na jamii zilizo hifadhiwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Green Waste Pro Ltd yaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa

1

Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark Anthony Shayo akizungumza jambo kwenye sherehe ya kutimiza miaka miwili kwa kampuni hii ya kufanya usafi katika jiji la Dar es salaam hususani kwenye manispaa ya Ilala.

2

Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala  Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kwenye ukumbi wa makumbusho siku ijumaa tarehe 27, 2014.

3

  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala  Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR

Kundi kubwa la wanafunzi kutoka shule mbali mbali wakisherekea Maadhimisho ya Siku ya Makumbusho Duniani yanayo adhimishwa Kitaifa katika Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam. Kundi kubwa la Wanafunzi walio udhuria maadhimisho yaSiku ya Makumbusho Duniani katika Viwanja vya Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaama wakimsikiliza Mwendesha kipindi cha watoto, Bw Chance Ezekiel (Uncle Bilinge) hayupo Pichani. Pichani ni Chance Ezekiel (Uncle Bilinge) na safu nzima ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sherehe za Ufunguzi zimeanza

Sherehe za Ufunguzi zimeanza Sao Paolo kisha baadaye itakuwa mechi ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia.

 

10 years ago

Michuzi

UBORESHAJI WA BOMA LA MKUU WA WILAYA YA IRINGA KUWA KITUO CHA MAKUMBUSHO NA MAONESHO YA SANAA ZA KIUTAMADUNI WAPONGEZWA

Meneja wa Mradi wa Kuendeleza Utamaduni Nyanda za Juu Kusini Jan Kuever akitoa taarifa ya Uboreshaji wa Boma la Mkoloni Iringa Kuwa sehemu ya makumbusho na Maonesho ya Kiutamaduni.Boma lililokuwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Iringa linaloboreshwa likwa katika hatua nzuri ya ujenzi.Makamu Mkuu wa Chuo Cha Iringa akieleza ushirikiwa wa Chuo katika kudumisha Utamaduni.Meneja Msaidizi wa Mradi wa Fahari yetu Bw Jimson Sanga akitolea ufafanuzi juu ya mwenendo wa Mradi. Kwa taarifa kamili na picha...

 

10 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA KIKAO KATI YA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajab Gamah akifungua kikao  kati ya Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar inayosimamia Ofisi za Viongozi za Kitaifa  kushoto ni Mwenyekiti wa Jimbo la Kwamtipura Mhe. Hamza Hassan Juma kulia ni Mwenyekiti wa Jimbo la Wawi, Mhe. Saleh Nassor Juma. 
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Ofisi za Viongozi wa...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE YA UFUNGUZI WA MASJID AN NOOR LEICESTER

Assalaamu Alaykum Wa Rahmatul Lah

Inshaa Allah Jumapili tarehe 22 Juni 2014 itakuwa ndiyo siku ya Ufunguzi Rasmi wa Jengo la Kituo cha An Noor Leicester (An Noor Community Centre) pamoja na Masjid An Noor

Maimamu wa Misikiti yote ya mjini Leicester wamealikwa kuhudhuria katika mjumuiko Maalumu ambao utakuwa na lengo la kutambuana rasmi, kuimarisha Ushirikiano na kufungua milango kuwakaribisha rasmi Maimamu wa Leicester na Wafuasi wao

Wanakamati wote wa Jumuia ya An Noor pia watahudhuria...

 

9 years ago

Michuzi

SANAA FASHION SHOW KUFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA MBEZI GARDEN HOTEL

image4Na Andrew Chale, modewjiblog(Dar es Salaam)-Ile shoo kubwa yamaonyesho ya mavazi ubunifu ya Tanzania katika kuibua vipaji vya wanamitindo chipukizi na models lililoandaliwa na kampuni ya Crown River Fame likijulikana kama Sanaa Fashion Show, linatarajia kufanyika Ijumaa hii ya Agosti 28, ndani ya ukumbi wa Mbezi Garden Hotel, ambapo pia kutakuwa na shoo kabambe kutoka kwa msanii wa THT, Msami.
Akizungumza na mtandao huu Meneja Mradi wa Crown River Fame, Mr. Rahul anasema tayari taratibu...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete katika sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Ndundu-Somanga

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalamiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu Somanga(picha na Freddy Maro).Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalamiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu SomangaRais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Mwakikushi wa Mfuko wa Kuwaiti Bwana Abdurahman Al Hashim, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe.Jassem Ibrahim Al Najem wakikata utepe...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA ELIMU YASITISHA SHEREHE ZA UFUNGUZI MASHINDANO YA MAKISATU KUEPUKA CORONA


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kuchukua tahadhari ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona kwenye maeneo mbalimbali, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imehairisha sherehe za ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu zilizokua zifanyike leo jijini Dodoma.

Akizungumza leo katika uwanja wa Jamhuri ambapo mashindano hayo yanafanyika, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof James Mdoe kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani