MUALIKO WA SHEREHE ZA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIA NA UFUNGUZI WA UKUMBI WA KUDUMU WA SANAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-bigumcQ6q8I/U3JIqrElttI/AAAAAAAFha4/laK6WDaIqU8/s72-c/52108748.jpg)
Kila Tar 18 Mei Jamii husherekea siku ya Makumbusho Duniani, hapa Tanzania sherehe hizi Kitaifa zitafanyika Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar Es Salaam. Katika siku hii muhimu, Makumbusho ya Taifa inatarajia kuufungua rasmi Ukumbi wa Maonesho ya kudumu ya Sanaa.
Kutokana na umuhimu wa siku hii Makumbusho ya Taifa inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Makumbusho ya Taifa ili kujifunza mambo mbali mbali kupitia vitu na naarifa zinazothaminiwa na jamii zilizo hifadhiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Kampuni ya Green Waste Pro Ltd yaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa
Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark Anthony Shayo akizungumza jambo kwenye sherehe ya kutimiza miaka miwili kwa kampuni hii ya kufanya usafi katika jiji la Dar es salaam hususani kwenye manispaa ya Ilala.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kwenye ukumbi wa makumbusho siku ijumaa tarehe 27, 2014.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Sherehe za Ufunguzi zimeanza
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_SsL-5bT-1s/Vawe9ny0QhI/AAAAAAAB_AI/X7QOpjw7XhE/s72-c/1.jpg)
UBORESHAJI WA BOMA LA MKUU WA WILAYA YA IRINGA KUWA KITUO CHA MAKUMBUSHO NA MAONESHO YA SANAA ZA KIUTAMADUNI WAPONGEZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-_SsL-5bT-1s/Vawe9ny0QhI/AAAAAAAB_AI/X7QOpjw7XhE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zm13_YKm50A/VawfrSv_VjI/AAAAAAAB_Aw/RCs-Benyd9A/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qrTVhiG775Y/Vawe9MpDVWI/AAAAAAAB-_4/GNNMepuUoAo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Kcbt9Up1nU/Vawe91gdsfI/AAAAAAAB_AA/heWCfLuab2I/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziUFUNGUZI WA KIKAO KATI YA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Ofisi za Viongozi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-og-IsH-Hc4k/U50voIUpG8I/AAAAAAAFqsM/Q0ZwBajsodk/s72-c/1-0a059ffc08.jpg)
SHEREHE YA UFUNGUZI WA MASJID AN NOOR LEICESTER
![](http://4.bp.blogspot.com/-og-IsH-Hc4k/U50voIUpG8I/AAAAAAAFqsM/Q0ZwBajsodk/s1600/1-0a059ffc08.jpg)
9 years ago
Michuzi27 Aug
SANAA FASHION SHOW KUFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA MBEZI GARDEN HOTEL
![image4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/image4.jpg)
Akizungumza na mtandao huu Meneja Mradi wa Crown River Fame, Mr. Rahul anasema tayari taratibu...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete katika sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Ndundu-Somanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qzAfK3w4T-Q/XnC4wxmvAFI/AAAAAAALkFA/mvu8kMtjtDY-bqxIA9S9UF2wftTa3k_sQCLcBGAsYHQ/s72-c/47ca69ff-2a20-4c75-b4e1-b45efa496c95.jpg)
WIZARA YA ELIMU YASITISHA SHEREHE ZA UFUNGUZI MASHINDANO YA MAKISATU KUEPUKA CORONA
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kuchukua tahadhari ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona kwenye maeneo mbalimbali, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imehairisha sherehe za ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu zilizokua zifanyike leo jijini Dodoma.
Akizungumza leo katika uwanja wa Jamhuri ambapo mashindano hayo yanafanyika, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof James Mdoe kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako...