Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUENDELEZO WA MATUKIO KATIKA TAMASHA LA MAJIMAJI SELEBUKA

Mabingwa wa mbio za wanawake katika Tamasha la Majimaji Selebuka. Kutoka kulia ni bingwa wa mbio za kilometa tano za wanawake, Neema Ndambo, Mwanaharabu Pili aliyeshika nafasi ya pili na mshindi wa tatu, Shakira Abdallah. Mama na mwana….Bibie Abdallah kushoto akiwa katika pozi na mwanaye, Shakira Abdallah, wote walishiriki katika mbio za wanawake za Km 5, katika Tamasha la Majimaji Selebuka. Mama ameshika nafasi ya tano, mwana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASHINDANO YA NGOMA ZA ASILI KWENYE TAMASHA LA MAJIMAJI SELEBUKA 2015

Kikundi cha Jakaya Sanaa kilichoibuka bingwa wa shindano la Ngoma za Asili kwenye Tamasha la Majimaji Selebuka 2015 yanayoendelea kwenye Uwanja wa Makumbusho ya Mashujaa ya Vita vya Majimaji, Songea. Kikundi cha Ngoma cha Lihanje-Ngoma ya Mganda wakifanya yao katika Shindano la Ngoma za Asili kwenye tamasha la Majimaji Selebuka 2015. Jaji Mkuu…

 

11 years ago

Mwananchi

Kinjeketile na mchango wake katika Vita ya Majimaji

Historia ya vita ya Majimaji imekuwa ikielezwa kwa namna mbalimbali. Kila mmoja anasimulia kwa namna alivyosikia. Wananchi wengi wa ukanda wa kusini walikimbia vita na kuishi sehemu tofauti tofauti na kila mtu amekuwa akisimulia anavyojua ama alivyosimuliwa.

 

10 years ago

Michuzi

chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji

 Gwaride kazini Ukakamavu na nidhamu Heshima kulia Hakuna mchezo hapa Kiapo cha utii baada ya hatua 15 mbele.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI

 Chipukizi wa UVCCM wakipia saluti huku wakiimba  wimbo wa Taifa…

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyakea wakiwa katika mkesha wa mwaka mpya.  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na mkewe wakicheza kwa furaha wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akiwa na furaha wakati wa mkesha wa mwaka 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye(katikati) akicheza nyimbo za injili wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

5 years ago

Michuzi

Matukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM


 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, akionesha zawadi ya fremu ya nembo ya Taifa iliyotengenezwa kwa madini alipotembelea mabanda katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020, uliofanyika JNICC Jijini Dar es Salaam, kulia ni Waziri wa Madini, Mhe. Doto Biteko na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Simon Msanjira.  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, akiangalia madini ya Tanzanite katika moja ya...

 

11 years ago

Michuzi

PPF YAANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DAR LIVE

Mama Asha Bilali akimkabidhi Cheti Cha Udhamini kwa Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika Katika ukumbi wa Dar Live wilaya ya Temeke ,Jijini Dar Es Salaam. Meneja mahusiano na Masoko wa mfuko wa pensheni wa PPF Bi Lulu Mengele akitoa hotuba fupi kwa washiriki waliohudhuria tamasha la wanawake na akiba ambapo PPF ilishiriki ili kuweza kutoa elimu kwa Washiriki kuweza kujua umuhimu wa kuchangia na mfuko wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Matukio katika picha

Baadhi ya picha zikionyesha jinsi watu katika maeneo mbalimbali duniani wanavyokabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani