Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUFINDI HIGHLANDS SCHOOL YAPOKELEWA KWA SHANGWE NA WAZAZI SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA ,WAUNGA MKONO KWA KUCHANGIA PESA


Mkurugenzi  mtendaji  wa  shule   ya Southern Highlands Mafinga  Bi Mary Mungai kushoto  akiwa na  wageni mbalimbaliWanafunzi  wa shule ya  Southern Highlands Mafinda wakipiga  vyombo  vya muziki  walipokuwa  wakiimba  wimbo wa Taifa siku ya mahafali ya  chekechea na siku ya  wazazi shuleni hapoMsimamizi  mkuu wa Library katika shule ya Southern Highlands Mafinga Glory Mgullah AkijitambulishaMwalimu Bi  Sarah akijitambulisha mbele ya  wazaziWageni  mbalimbali wakiwa katika  hafla ya  siku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA CHEKECHEA SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA NA SIKU YA WAZAZI

Mkurugenzi mtendaji  wa  Shule za  Southern Highlands Mafinga  Mary  Mungai akishirikiana na mgeni rasmi  kuwalisha  keki wanafunzi wa  shule  hiyo  leo wakati wa mahafali ya  chekechea na siku ya  wazazi.Wanafunzi  wakionyesha  michezo mbali mbali Baadhi ya  wanafunzi wa shule  hiyo  wakifuatilia  michezo mbali mbali.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mkuu wa shule hiyo pia alitangaza nafasi za masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la tatu wanaotokea kiswahili medium schools na la tano pia wakati...

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI Southern Highlands School LTD, Mafinga, Iringa,

Southern Highlands School LTD ya Mafinga, Iringa, inatangaza nafasi za kazi za ualimu katika shule yake mpya ya secondary ya MUFINDI HIGHLANDS SECONDARY SCHOOL itakayo kuwepo maeneo ya Kinyanambo ‘C’ Mafinga. Shule inatangaza nafasi za walimu wa secondary wenye diploma. Nafasi zipo kwa walimu wa masomo ya sayansi, mathematics, book keeping, commerce, kiswahili na masomo ya arts. Maombi yawasilishwe shuleni Southern Highlands School kwa maandishi, yaambatanishwe na nakala za vyeti,...

 

10 years ago

On Crash

At least 42 killed in southern Tanzania highlands head


Fox News
At least 42 killed in southern Tanzania highlands head-on crash
Coastweek
DAR ES SALAAM, Tanzania (Xinhua) -- At least 42 people were killed and 23 others seriously injured after an overloaded bus collided head-on with a lorry in Tanzania's southern highland region of Iringa, local officials say. Iringa regional commissioner ...
42 killed in horror road accidentIPPmedia
42 killed in collision in TanzaniaiAfrica.com
At least 40 killed in bus, truck collision in TanzaniaTimes LIVE
Daily...

 

10 years ago

Spyghana.Com

23 killed in Tanzania southern highlands road accident


23 killed in Tanzania southern highlands road accident
spyghana.com
At least 23 people were killed and 43 others were seriously injured on Sunday evening when their bus collided with a lorry in southern Tanzania, police said on Monday. motor traffic accidents accident. Pudenciana Protas, acting Iringa Regional Police ...

 

10 years ago

Coastweek

Death toll upto 23 in Tanzania southern highlands road crash


Death toll upto 23 in Tanzania southern highlands road crash
Coastweek
DAR ES SALAAM Tanzania (Xinhua) -- At least 23 people were killed and 43 others were seriously injured on Sunday evening when their bus collided with a lorry in southern Tanzania, police said on Monday. Pudenciana Protas, acting Iringa Regional Police ...
23 killed in Tanzania southern highlands road accidentspyghana.com

all 3

 

5 years ago

BBC News

Coronavirus: People urged not to visit Highlands to flee virus

Coronavirus: People urged not to visit Highlands to flee virus  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA

Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA


Na Woinde Shizza,ARUSHA

WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.

Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.

Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...

 

10 years ago

Vijimambo

HALMASHAURI YA MUFINDI YAPEWA WIKI 3 KUJENGA KIZIMBA CHA TAKATAKA SOKO KUU MAFINGA

Katibu wa CCM Wilaya ya Mufindi, Miraji Mtaturuvijana wa mafinga wakishangila uwepo wa Katibu wa CCM Wilaya ya Mufindi, Miraji MtaturuNa Fredy Mgunda,Mafindi.Halmashauri ya mufindi yapewa wiki 3 kujenga kizimba cha takataka soko kuu mafinga pia kusambaza maji katika vyoo vya halmashauri vilivyopo sokoni hapo.Wiki tatu hizo zimetolewa na Katibu wa chama cha mapinduzi wilayani mufindi Miraji Mtatulu baada ya kufanya ziara ya kushtukiaza katika soko hilo na kubaini kuwapo kwa kizimba kinacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani