Mufindi washauriwa kujiunga mfuko afya ya jamii
MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa na viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wenyeviti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 May
Wakazi wilaya ya Kakonko watakiwa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF-Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-OqqTJhGoJO4/VVI9UPMg7XI/AAAAAAAAMmI/tlEmmOCZ5Co/s640/CHF%2BKKK.2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jZT_om5BzVw/VVI945lWibI/AAAAAAAAMmg/0jYxVTNN_Uw/s640/CHF%2BKKK.4.jpg)
11 years ago
MichuziRC RUVUMA AWATAKA VIONGOZI KAMATI YA FEDHA ,UCHUMI NA MIPANGO NYASA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF )
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3m-sm2V0hI/TqFXhmsdVrI/AAAAAAAANQ0/2K89JuWBGvA/s1600/RC%2Baksisitiza%2Bjambo%2Bnamtumbo.jpg)
mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Washauriwa kujiunga na mifuko ya jamii
WATANZANIA wenye uwezo wa kufanya kazi, walioajiriwa kwenye sekta mbalimbali na waliojiajiri, wameshauriwa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kupata mafao bora uzeeni. Kauli hiyo ilitolewa mkoani Kagera...
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
9 years ago
MichuziWANAMICHEZO WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Zanzibar mbioni kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Pili kutoka Kulia akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania ukiongozwa na Bwana Ezekiel Olouchi aliyepo kati kati yao. Kushoto kwa Balozi Seif ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Kanda ya Zanzibar Nd. Ismail Kangeta, kulia ya Bwana Ezekiel Olouchi ni Mkurugenzi wa Wizara ya Afya aliyenyoa Nywele Dr. Moh’d Mohammed na Mkurugenzi wa ICT Nd. Ali Othman.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kuona haja kwa...