Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washauriwa kujiunga na mifuko ya jamii

WATANZANIA wenye uwezo wa kufanya kazi, walioajiriwa kwenye sekta mbalimbali na waliojiajiri, wameshauriwa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kupata mafao bora uzeeni. Kauli hiyo ilitolewa mkoani Kagera...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wananchama washauriwa kutojitoa uanachama Mifuko Hifadhi Ya Jamii

Wanachama wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini wameshauriwa kutojitoa kwenye uanachama wa mifuko waliyojiunga kwa lengo la kupata Fao la Kujitoa kwa sababu fao hilo halipo hivi sasa.

Wanachama hao wametakiwa kutambua kuwa hatua ya kujitoa kwenye mifuko hiyo itawanyima haki ya kupata mafao husika na hivyo kushindwa kutimiza lengo la kujiunga na taasisi hizo.

Tahadhari hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mahusiano ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii, NSSF, Eunice Chiume, katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahimizwa kujiunga mifuko ya jamii

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, amewataka wanachama wapya  kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu  muda si...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mufindi washauriwa kujiunga mfuko afya ya jamii

MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa na viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wenyeviti wa...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA ASISITIZA WANANCHI BAGAMOYO KUJIUNGA NA MIFUKO YA AFYA YA JAMII

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwapungia mkono wakazi wa Bagamoyo wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa shule ya Msingi Jitegemee. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa mkono wa pongezi mshahiri maarufu wa CCM mkoa wa Pwani Ndugu Ali Pongwe baada ya kutoa ushairi mzuri kabla ya kuanza kwa mkutano. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Magomeni wilaya ya Bagamoyo...

 

9 years ago

Michuzi

SSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII

Ofisa Mwandamizi Matekelezo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bw. Frank Kilimba akifanunua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bi. Halima Dendegu, wakati wa maonesho ya Siku ya Bahari yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi karibuni.Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la SSRA wakichukua vipeperushi mbalimbali vya SSRA katika monyesho hayo.Maofisa wa SSRA wakitoa maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za mamlaka hiyo, kwa wanachi waliohudhuria maonesho ya Siku ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi washauriwa kujiunga Saccos

Jamii imetakiwa kujiunga na Vyama vya Akiba na Mikopo (Saccos), lengo likiwa ni kupata fursa ya mikopo mbalimbali ili wajikwamue na umaskini.

 

11 years ago

Mwananchi

Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos

Wanachama wa Vicoba wameshauriwa kujiunga na Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwawezesha kunufaika na fursa katika mifuko ya hifadhi ya jamii na hatimaye kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza vikundi vyao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari washauriwa kujiunga NHIF

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, amewashauri wakazi wa Zanzibar kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa matibabu. Mdee alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani