Washauriwa kujiunga na mifuko ya jamii
WATANZANIA wenye uwezo wa kufanya kazi, walioajiriwa kwenye sekta mbalimbali na waliojiajiri, wameshauriwa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kupata mafao bora uzeeni. Kauli hiyo ilitolewa mkoani Kagera...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Nov
Wananchama washauriwa kutojitoa uanachama Mifuko Hifadhi Ya Jamii
Wanachama wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini wameshauriwa kutojitoa kwenye uanachama wa mifuko waliyojiunga kwa lengo la kupata Fao la Kujitoa kwa sababu fao hilo halipo hivi sasa.
Wanachama hao wametakiwa kutambua kuwa hatua ya kujitoa kwenye mifuko hiyo itawanyima haki ya kupata mafao husika na hivyo kushindwa kutimiza lengo la kujiunga na taasisi hizo.
Tahadhari hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mahusiano ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii, NSSF, Eunice Chiume, katika...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Wananchi wahimizwa kujiunga mifuko ya jamii
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, amewataka wanachama wapya kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu muda si...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Mufindi washauriwa kujiunga mfuko afya ya jamii
MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa na viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wenyeviti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s72-c/6.jpg)
KINANA ASISITIZA WANANCHI BAGAMOYO KUJIUNGA NA MIFUKO YA AFYA YA JAMII
![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HaCjpVafzr8/VB9PJtzQwTI/AAAAAAAARC4/9agjW_GxaJ0/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKj7VVYTGt4/VB9PMotG8SI/AAAAAAAARDA/jwob49EDL0Y/s1600/13.jpg)
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Wananchi washauriwa kujiunga Saccos
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wazanzibari washauriwa kujiunga NHIF
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, amewashauri wakazi wa Zanzibar kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa matibabu. Mdee alisema...