Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi washauriwa kujiunga Saccos

Jamii imetakiwa kujiunga na Vyama vya Akiba na Mikopo (Saccos), lengo likiwa ni kupata fursa ya mikopo mbalimbali ili wajikwamue na umaskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos

Wanachama wa Vicoba wameshauriwa kujiunga na Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwawezesha kunufaika na fursa katika mifuko ya hifadhi ya jamii na hatimaye kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza vikundi vyao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Free Media Saccos yaombwa kujiunga SCULT

MUUNGANO wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania (SCULT) umekiomba Chama cha Akiba na Mikopo cha Free Media Saccos kujiunga nao. Akizungumza na baadhi ya viongozi wa Bodi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washauriwa kujiunga na mifuko ya jamii

WATANZANIA wenye uwezo wa kufanya kazi, walioajiriwa kwenye sekta mbalimbali na waliojiajiri, wameshauriwa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kupata mafao bora uzeeni. Kauli hiyo ilitolewa mkoani Kagera...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari washauriwa kujiunga NHIF

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, amewashauri wakazi wa Zanzibar kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa matibabu. Mdee alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Zanzibar washauriwa kujiunga na NHIF

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis MdeeWAKAZI wa Zanzibar wameshauriwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wawe na uhakika wa kupata matibabu wakati wote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi CBE washauriwa kujiunga NSSF

WANAFUNZI wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wameaswa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili wanufaike na mafao ya muda mrefu na mfupi yanayotolewa. Meneja...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mufindi washauriwa kujiunga mfuko afya ya jamii

MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa na viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wenyeviti wa...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO

  Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu kushoto akipokea risiti ya malipo mara baada ya kujiunga kuwa mwanachama wa mfuko wa afya ya Jamii (CHF) leo wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika kwenye Kata ya Potwe wilayani humo anayemkabidhi risiti hiyo ni Afisa Tabibu wa Zahanati ya Potwe wilayani humo Dr.Samweli Mudhihiri ambapo zaidi ya kaya 65 zenye wanachama 390 walihamasika na kujiunga papo hapo. PICHA ZOTE NA OSCAR ASSENGA,TANGA.  Picha namba moja ni  Mkuu wa wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani