Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUFTI WA TANZANIA ATOA MWONGOZO KUHUSU KORONA

Ripoti ya matukio ya Kiislamu inahusu mwongozo uliotolewa na Mufti wa Tanzanua Sheikh Abubakar Zubeir Ali leo Ijumaa kuhusiana na ugonjwa wa Corona ambapo amemshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuitikia Dua za watanzania.Taarifa iliyosomwa na msemaji wa mufti Sheikh Hassan Chizenga, mufti ametoa muongozo huo kufuatia habari ya kupungua maambukizi ya Corona nchini Tanzania. Amesema kuwa, kutokana na maendeleo hayo, vyuo vya dini ya Kiislamu ambavyo vina watu wazima,  wanafunzi warejee kama...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MWAKILISHI WA JIMBO LA UZINI ATOA MSAADA VITU MBALIMBALI KWA AJILI YA KUPAMBANA NA KORONA ZANZIBAR

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed (kulia)akizungumza baada ya kupokea Msada wa Vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mchele ,Magodoro,Mashuka Taula ,Dawa za kuosha mikono Vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini na Mfanya Biashara maarufu Mohamed Raza kwa ajili ya kupambana na Maradhi ya Korona hafla iliofanyika nje ya ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil Kikwajuni Zanzibar.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akisalimiana...

 

9 years ago

Habarileo

Mufti Zanzibar atoa kauli nzito

VIONGOZI wa dini wa madhehebu mbalimbali Zanzibar, wamewataka viongozi wa vyama vya siasa ikiwemo wagombea wa nafasi ya urais, kukubali na kuheshimu matokeo yatakayotangazwa na taasisi husika.

 

5 years ago

CCM Blog

SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA


MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi  wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya  kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...

 

10 years ago

CloudsFM

LUNDENGA ATOA TAMKO KUHUSU UMRI SAHIHI WA MISS TANZANIA

Waandaji wa shindano la Miss Tanzania 2014 Lino International ambao wakishirikiana na Redds wamekutana leo jijini Dar es salaam na waandishi wa habari ili kuzungumza nao kuhusu skendo ya umri halisi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim lundenga amesema tuhuma za kuwa miss Tanzania anamtoto sio kweli na kwamba hairuhusiwi kwa mshindani wa Miss Tanzania kuwa na Mtoto. Pia Hashim ameonyesha vyeti halisi vya kuzaliwa vya Sitti abavyo vimeonyesha...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGHEMBE ATOA MSIMAMO WA TANZANIA KUHUSU MTO NILE

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akiwa na mgeni wake, Balozi, Dk. Yassir Mohammed Ali, ofisini kwake pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Kuratibu Programu Ya Maji, Joseph Kakunda. Waziri wa Maji akiagana na mgeni wake, Balozi, Dk. Yassir Mohammed Ali.
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe jana alikutana na Balozi wa Sudan Nchini, Dk. Yassir Mohammed Ali, ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo mafupi, hususani matumizi ya maji ya Mto Nile.
Waziri Maghembe alisema Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu

Na Rose Masaka,Maelezo 
 Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu habari za upotoshaji zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii kuhusu chuo hicho, leo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA WAMLILIA Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa za msiba wa Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba, Kiongozi Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kilichotokea asubuhi ya leo kwa maradhi ya sukari na shinikizo la moyo.Akitoa salaam za pole na rambirambi kwa waumini wa madhehebu ya Kiislamu na Watanzania wote kwa ujumla baada ya kupata taarifa za msiba huo, Mwenyekiti wa CHADEMA (T), Freeman Mbowe amesema kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Wadau wa Sekta ya Utalii na Waandishi wa Habari leo jijini Arusha wakati wa Uzinduzi rasmi wa Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA.Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla (Kulia) na Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani