Muhimbili haistahili pongezi kwa MRI kutengemaa
Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ulitangaza kuwa mashine ya kuchukulia vipimo kwa nguvu ya sumaku (MRI), imepona baada ya kufanyiwa matengenezo na mafundi kutoka kampuni ya Phillips.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRxPVmj_qmM/Vkm57sEsseI/AAAAAAAAvpo/DOcgIJ7p3i4/s72-c/IMG_20151116_140507.jpg)
9 years ago
Habarileo17 Nov
MRI yaharibika tena Muhimbili
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umesimamisha kwa muda huduma za uchunguzi kupitia mashine ya MRI kuanzia mwishoni mwa wiki, kwa ajili ya matengenezo zaidi ya mashine hiyo.
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Habari njema: Malipo ya vipimo vya MRI yafanyika kutokana na michango ya wasamaria wema yaliyofanikisha Dada Joyce wa Mbeya kufikishwa Muhimbili kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema,
UPDTAES ZA LEO
Kwa kutumia michango ya wasamaria wema, leo tayari Ankal ameshalipia malipo kwa ajili ya vipimo vya MRI kwa dada Joyce yanayotarajiwa kufanyika Alhamisi hii ama Ijumaa. Baada ya matokeo ya vipimo vyake jopo la madaktari bingwa bingwa litakaa nakuamua nini cha kufanya kumsaidia dada Joyce. Hivyo tuendelee kumsaidia kwa hali na mali pamoja na dua.
Kama umeguswa na unataka kutoa msaada unaweza kuwasiliana na Ankal kwa email
issamichuzi@gmail.com ama...
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Kifaa cha MRI charekebishwa Muhimbili
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Mashine ya MRI Muhimbili yaharibika tena
Veronica Romwald na Allen Msapi (GHI), Dar es Salaam
MASHINE ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ijulikanayo kama Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imeharibika tena baada ya kufanya kazi kwa siku mbili, tangu ilipofanyiwa matengenezo na Kampuni ya Philips.
Mashine hiyo ilifanyiwa matengenezo kutokana na shinikizo la Rais Dk. John Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo na kuamuru zifanyiwe marekebisho haraka.
Katika ziara yake hiyo,...
9 years ago
Mtanzania17 Dec
MRI, CT-Scan zaharibika tena Muhimbili
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MASHINE ya MRI na CT-Scan zilizoko katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika tena, licha ya kufanyiwa matengenezo siku kadhaa zilizopita baada ya Rais Dk. John Magufuli kuamuru zitengenezwe haraka.
Hii ni mara ya tatu sasa tangu mashine hizo zilipoanza kuharibika mapema mwishoni mwa Agosti, mwaka huu.
R a i s Magufuli alitoa amri ya kutengenezwa kwa m a s h i n e hizo Novemba 9, mwaka huu alipofanya ziara ya
kushtukiza hospitalini hapo,...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Muhimbili wasitisha tena huduma za MRI
9 years ago
Habarileo12 Nov
Rais Magufuli asikika, MRI Muhimbili yatengamaa
MASHINE ya MRI iliyokuwa imeharibika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), sasa imeanza kufanya kazi baada ya kukamilika kwa matengenezo yake. Utengenezaji wa mashine hiyo ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli aliyoitoa kwa uongozi mpya wa MNH aliouteua, baada ya kutembelea hospitali hiyo hivi karibuni.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s72-c/download.jpg)
MAFUNDI WAZISHUGULIKIA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN MUHIMBILI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s1600/download.jpg)
Akizungumza ofisini kwake leo hii Mkuu wa Idara ya Uhusiano Hospitali ya Taifa Muhimbili Bw. Aminiel Buberwa Aligaesha amesema mafundi wapo katika eneo la kazi wakitengeneza hizo mashine ili ziweze kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Tumepewa siku tatu kukamilisha ukarabati wa hizi mashine hivyo wananchi wawe na subira...