MUHTASARI WA MAAMUZI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI DHIDI YA RUFAA ZA UBUNGE NA UDIWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ds7ysJCV4gs/VeiNNeB56hI/AAAAAAAH2LI/1XYOeUlgQAU/s72-c/nec-logo.png)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa za Wabunge 55 na imeshatolea maamuzi rufaa 42 bado rufaa za Wabunge 13 ambazo vielelezo vyake vinasubiriwa kutoka kwenye Halmashauri husika. Kulikuwa na Rufaa 16 za Wabunge waliokuwa wameenguliwa. Kati ya hizo Wabunge 13 wamerudishwa kuendelea na kampeni na rufaa 3 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hivyo hao hawatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea. Aidha, rufaa 24zimekataliwa na Tume ambapo maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Sep
Maamuzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu Rufaa za Wabunge
9 years ago
Michuzi02 Sep
Maamuzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu Rufaa za Wabunge na Madiwani
Tume inaendelea kupitia vielelezo vilivyowasilishwa na Wagombea (warufani) na Wasimamizi wa Uchaguzi kutoka Halmashauri mbalimbali. Pia imeanza kuzitolewa maamuzi rufaa za Wabunge tarehe 31/8/2015. Leo tarehe 01/9/2015 zimejadiliwa na kuamuliwa rufaa za Madiwani 53.
Kati...
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s72-c/IMG_8915.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s1600/IMG_8915.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s72-c/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
MATOKEO KWA NGAZI YA UBUNGE KWA MAJIMBO YALIYOTANGWAZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAYA HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s640/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
Jimbo la TundumaUbunge: Mwakajoka Frank (Chadema)...
9 years ago
GPL![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/11/NEC.jpg?resize=620%2C533)
9 years ago
Michuzi12 Nov
9 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATAJA TAREHE YA UCHAGUZI LUSHOTO, ULANGA MASHARIKI