Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME ASIMULIA ALIVYOFANYIWA USODOMA

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
MH! Hatimaye yule mwanaume aliyedaiwa kufumaniwa na mke wa mtu na hatimaye kufanyiwa usodoma na  watu sita, akiwemo mume wa mwanamke huyo amefungukia mchezo mzima. Mwanaume aliyedaiwa kufumaniwa na mke wa mtu na hatimaye kufanyiwa usodoma. Hivi karibuni mwanaume huyo (jina tunalo) ambaye ni mume wa wake wawili na mkazi wa Yombo Kiwalani, Wilaya ya Ilala jijini Dar mwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ALIVYOFANYIWA MESSI, BARCA IKILAZIMISHWA SULUU

Beki wa Malaga, Weligton akimkwida mashavuni nyota wa Barcelona, Lionel Messi kabla ya kumsukuma chini, hadi akapewa kadi ya njano na refa Alejandro Hernandez, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa La Liga usiku wa kuamkia leo. Lionel Messi…

 

9 years ago

GPL

MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA

Gladness Mallya BAADA ya kutokea vifo vya mahujaji zaidi ya mia saba waliokuwa wakishiriki Hija karibu na mji mtakatifu wa Waislam wa Makka, staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ amesimulia alivyonusurika kwenye tukio hilo la kukanyagana. Staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ akiwa na mahujaji wenzie. Akizungumza na gazeti hili mke wa Mzee Majuto, Aisha alisema...

 

11 years ago

GPL

RAY C ASIMULIA ALIVYOKICHUNGULIA KIFO

Stori: MUSA MATEJA
MUNGU mkubwa! Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesimulia jinsi alivyochungulia kifo baada ya kutikiswa na ugonjwa hatari na tishio ulioibuka hivi karibuni wa Homa ya Dengue. Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akiwa kwenye red carpet ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards. Akifunguka mbele ya gazeti hili juzi baada ya...

 

10 years ago

GPL

MKE ASIMULIA MATESO ALIYOPATA YP

Na  Deogratius Mongela na Chande dallah
MKE wa aliyekuwa memba wa Kundi la TMK Family, Yessaya Ambikile ‘YP’ aliyefariki katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar, Sakina Robert amefungukia mateso aliyopitia mumewe hadi umauti ulipomkuta usiku wa Oktoba 20, mwaka huu. Mke wa marehemu Yessaya Ambikile ‘YP’ aliyefariki katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar, Sakina Robert akilia kwa uchungu katika...

 

10 years ago

Mtanzania

Askofu asimulia mgawo wa Escrow

Nzigilwa-bishopNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

HATIMAYE Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya na kusimulia namna alivyopokea Sh milioni 40.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engireering & Marketing Ltd, James Rugemalila.
Fedha hizo, ni sehemu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Askofu Nzigilwa ni mmoja wa watu waliotajwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), mwaka jana kuwa alipokea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana asimulia ya Boko Haram

Ni miezi sita sasa tangu wanamgambo wa kundi la Boko Haram kuwateka wasichana Zaidi ya 200 kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU ASIMULIA ALIVYOBAKWA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan My confession! (kukiri kwangu)! Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefungua kinywa na kutoa la moyoni akisimulia tukio baya lililowahi kumkuta la jinsi alivyobakwa, Risasi Jumamosi lina ‘exclusive story’. Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias...

 

5 years ago

CHADEMA Blog

11 years ago

Mwananchi

Mtawa aagwa, dereva asimulia

>Mark Mwarabu, dereva aliyekuwa akimwendesha sista wa Kanisa Katoliki, Crecensia  Kapuri aliyeuawa na majambazi wa Kanisa Katoliki, amesema mbinu za kijeshi zilimwokoa katika tukio hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani