Murdoch asema Obama si ‘rais mweusi kamili’
Rupert Murdoch ameandika ujumbe kwenye Twitter akidokeza kwamba Rais Barack Obama si "rais mweusi kamiliâ€.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Obama siyo rais mweusi kamili Marekani’
Mmoja ya watu wanajulikana kwa utajiri mkubwa wa vyombo vya habari duniani amesema kuwa Marekani haijapata rais anayewakilisha uhalisia wa kweli juu ya jamii ya watu weusi.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-thgvkUL_XpA/VePV-i6QgWI/AAAAAAABGT4/bv9ACTdZMEg/s72-c/AB%2B1.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO KAMILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-thgvkUL_XpA/VePV-i6QgWI/AAAAAAABGT4/bv9ACTdZMEg/s640/AB%2B1.png)
Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema vijana wake wapo tayari kuwavaa Nigeria Septemba 05, 2015 katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za AFCON mwaka 2017. Mkwasa ambaye yupo nchini Uturuki na kikosi cha timu ya Taifa kambini kwa mazoezi ya takriban wiki moja, amesema vijana wameonyesha mabadiliko makubwa baada ya kupata wiki moja ya mazoezi ya pamoja. “Mazoezi wanayofanya hapa yamewajenga stamina, unaweza kuona...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku
11 years ago
BBCSwahili28 May
Obama asema 10,000 kubakia Afghanistan
Rais Barack Obama ametangaza kuwa Marekani itaendelea kuwa na wanajeshi 10,000 nchini Afghanistan baada ya mwisho wa mwaka 2014.
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Obama asema huwa hapaki nywele zake rangi
Rais wa Marekani Barack Obama amesema yeye huwa hapaki rangi nyele zake kuficha mvi kama viongozi wengine duniani.
10 years ago
Bongo522 Nov
Rais wa Urusi, Vladimir Putin apata mkanda mweusi wa nane katika karate!
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepata mkanda mweusi wa nane katika karate. Putin mwenye miaka 62, ni mwanafunzi wa Kyokushin, aina ya karate ambayo wachezaji hawavai vifaa maalum kichwani. Putin pia ni mahiri kwenye martial arts ambapo alipewa mkanda mweusi wa tisa kwenye taekwondo mwaka 2013. Pia ni mchezaji mzuri wa judo. By TMZ
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s72-c/CCM-Logo.jpg)
RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s640/CCM-Logo.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANATAREHESHUGHULI/MAELEZO115 – 30/06/2020Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.215 – 30/06/2020Kutafuta wadhamini Mikoani.VIKAO VYA UCHUJAJI306 – 07/07/2020Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.408/07/2020Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.509/07/2020Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Obama asema hatua zilizochukuliwa na Trump ni kama 'janga la machafuko'
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obam amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa namna anavyoshughulikia janga la corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania