MKWASA ASEMA STARS IPO KAMILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-thgvkUL_XpA/VePV-i6QgWI/AAAAAAABGT4/bv9ACTdZMEg/s72-c/AB%2B1.png)
Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema vijana wake wapo tayari kuwavaa Nigeria Septemba 05, 2015 katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za AFCON mwaka 2017. Mkwasa ambaye yupo nchini Uturuki na kikosi cha timu ya Taifa kambini kwa mazoezi ya takriban wiki moja, amesema vijana wameonyesha mabadiliko makubwa baada ya kupata wiki moja ya mazoezi ya pamoja. “Mazoezi wanayofanya hapa yamewajenga stamina, unaweza kuona...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s72-c/starsprs.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s640/starsprs.png)
9 years ago
Bongo528 Dec
Lionel Messi ashinda tuzo nyingine, orodha kamili ipo hapa
![Tuzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tuzo-300x194.jpg)
Superstar wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2015 (Globe Soccer Awards) inayotolewa kila mwaka.
Lionel Messi akipokea tuzo yake ya heshima ya mchezaji bora wa mwaka kutoka Globe Soccer, Dubai
Globe Soccer Awards 2015 zilizotolewa huko Dubai na ni tuzo maalum kwa ajili ya wanasoka, viongozi bora wa klabu, wakala bora, kocha bora.
Legend wa Italia Andrea Pirlo alishinda tuzo ya heshima baada ya Globe Soccer kutambua mchango wake kwenye soka
Ni tuzo...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi06 Aug
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Mkwasa: Stars can still advance
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Mkwasa salutes Stars players
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Mkwasa asifia kiwango Stars
KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.
Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...
9 years ago
TheCitizen06 Nov
Mkwasa relishes Stars progress
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?