MUZIKI MNENE BANGO MBEZI

Bwana E Mr Jimmy Jiam akiwa na swaga za hali ya juu wakati anampa zawadi mshindi wa EFM Muziki Mnene Bango baada yakuona kuwa ameweka stika kwenye eneo lake la biashara eneo la Mbezi Jijini Dar es salaam.


Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Muziki Mnene bango Tegeta




10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO BOKO

10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO KIMARA




Bwana E anapokutana na shabiki wa 97.3 EFM...
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO KINONDONI NA KAWE
93.7. EFM bado inaendelea na matayarisho ya tukio lao la Muziki Mnene Bar Kwa Bar ambalo litaanza kufanyika rasmi kuanziya tarehe 5/09/2015. Muziki Mnene Bango bao inaendelea na ukiwa umeweka bango la EFM kakita sehemu yako ya biashara na bwana E akipita akaona bango hilo huku ukisikiliza matangazo ya EFM utapata kifurushi chenye zawadi na tuvitu vitu kibao.
Mshindi wa Muziki Mnene Bango akikabidhiwa zawadi yake na bwana E mr Jimmy Jiam zikiwemo EFM t-shirt na kifurishi chenye vitu...

10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO SINZA NA MAGOMENI



10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BAGAMOYO




Muziki mnene bar kwa bar ulipambwa na kabumbu kati ya EFM na Bagamoyo veterani ambapo Bagamoyo veteran waliibuka na ushindi wa bao moja huku EFM wakiambulia sifuri.
Tangu...
11 years ago
GPL
Maximo muziki mnene
Kocha Marcio Maximo. Hans Mloli na Wilbert Molandi
WAKATI Gazeti la Championi linaanza kuripoti juu ya ujio wa Kocha Marcio Maximo mnamo Mei 24, ambapo pia ndiyo lilikuwa gazeti la kwanza kabisa kuripoti juu ya Mbrazili huyo kuja nchini kuinoa Yanga, ilionekana kama ni ndoto, hatimaye neno limetimia. Maximo, kocha wa zamani wa Taifa Stars, amerejea nchini jana, maalum kwa kazi moja tu, kuinoa Yanga, tukio ambalo limepokewa kwa...
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE KIBAHA


93.7 EFM yajinyakulia ushindi baada ya kuwafunga kibaha veterans mabao mawili kwa moja, katika mchezo uliochezwa mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Tamco kibaha, Mechi hiyo ni baadhi ya mechi zinazoendelea baina ya EFM na timu mbalimbali za wasikilizaji wake, Kupitia kampeni ya Muziki mnene bar kwa bar .Burudani haikuishia hapo, baada ya mechi hiyo shangwe ziliendelea ndani ya kibaha kontena. Ilikuwa ni bandika bandua ya ngoma kali kutoka kwa Rdj’s wa 93.7 EFM na shamra shamra kutoka...
9 years ago
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania