MUZIKI MNENE BANGO SINZA NA MAGOMENI

Bwana E Mr Jimmy Jiam wa EFM akipozi na mshindi wa EFM Muziki Mnene Bango eneo la Sinza, jijini Dar Es Salaam. Mshindi huyo alionekana akiwa anasikiliza 93.7 EFM na pia alikuwa ameweka stika ya EFM kwenye sehemu yake ya kazi.
Mshindi mwingine wa EFM Muziki Mnene Bango akiwa na furaha baada ya kukabidhiwa zawadi na bwana E wa EFM. Dada huyo alikuwa ameweka stika ya EFM kwenye sehemu yake ya biashara eneo la Magomeni, jijini Dar Es Salaam.
Bwana E Mr Jimmy Jiam akionekana anapozi na kumpa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO MBEZI



10 years ago
Michuzi
Muziki Mnene bango Tegeta




10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO KIMARA




Bwana E anapokutana na shabiki wa 97.3 EFM...
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO BOKO

10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BANGO KINONDONI NA KAWE

11 years ago
Habarileo15 Apr
Walalamikia barabara ya Sinza-Magomeni Morocco
WATUMIAJI wa Barabara ya Sinza hadi Magomeni Morocco kupitia eneo la kwa Mtogole, wameilalamikia Manispaa ya Kinondoni kwa kuchelewesha upanuzi wa barabara hiyo na hivyo kuhatarisha usalama wao.
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE BAGAMOYO




Muziki mnene bar kwa bar ulipambwa na kabumbu kati ya EFM na Bagamoyo veterani ambapo Bagamoyo veteran waliibuka na ushindi wa bao moja huku EFM wakiambulia sifuri.
Tangu...
11 years ago
GPL
Maximo muziki mnene
10 years ago
Michuzi
MUZIKI MNENE KIBAHA


93.7 EFM yajinyakulia ushindi baada ya kuwafunga kibaha veterans mabao mawili kwa moja, katika mchezo uliochezwa mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Tamco kibaha, Mechi hiyo ni baadhi ya mechi zinazoendelea baina ya EFM na timu mbalimbali za wasikilizaji wake, Kupitia kampeni ya Muziki mnene bar kwa bar .Burudani haikuishia hapo, baada ya mechi hiyo shangwe ziliendelea ndani ya kibaha kontena. Ilikuwa ni bandika bandua ya ngoma kali kutoka kwa Rdj’s wa 93.7 EFM na shamra shamra kutoka...