Mvamizi kiwanja cha Nyerere ampuuza DC
NI wazi sasa kuwa mvamizi katika kiwanja cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ana kiburi na jeuri kwa kuwa ameamuru ujenzi kuendelea kinyume cha agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana. Rugimbana aliliambia gazeti hili kuwa ameshazuia ujenzi kuendelea katika kiwanja hicho, ili kupisha mazungumzo kati ya warithi ambao ni familia ya Mwalimu Nyerere na mfanyabiashara anayedai kununua eneo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...
10 years ago
VijimamboTAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s72-c/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
Jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere lakamilika asilimia 65
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s640/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Feb
Kiwanja cha Nyerere chapigwa ‘danadana’
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeendelea kupigwa chenga na viongozi wa Wilaya ya Kinondoni, walikokwenda mara kadhaa kufuatilia haki ya kiwanja walichoachiwa na baba yao.
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
11 years ago
Habarileo04 Feb
Familia ya Nyerere yaporwa kiwanja
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeporwa kiwanja ilichokuwa inamiliki na anayedaiwa kuwa mporaji ameanza ujenzi ambao unafanyika chini ya usimamizi wa walinzi wa miraba minne. Mtoa habari kutoka familia hiyo (jina limehifadhiwa), amesema kiwanja kilichoporwa kiko Msasani Beach karibu na makazi ya mjane wa Mwalimu, Mama Maria na ni namba 778.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere
SIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfEoySLFiIo/XvMM3-x_jMI/AAAAAAALvMg/-sN8PajKwMMTZLtreJlGWlarToaEbb75ACLcBGAsYHQ/s72-c/0c48cdaa-436c-40be-9df0-e92027de8176.jpg)
KWANDIKWA AAGIZA UBORA KIWANJA CHA NDEGE CHA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfEoySLFiIo/XvMM3-x_jMI/AAAAAAALvMg/-sN8PajKwMMTZLtreJlGWlarToaEbb75ACLcBGAsYHQ/s640/0c48cdaa-436c-40be-9df0-e92027de8176.jpg)
Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Bw. Pius Kazeze, akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa, wakati Naibu Waziri huyo alipokuwa akikagua hatua za uboreshaji wa kiwanja hicho, mkoani Mbeya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/46e955d9-2478-4dcb-9766-422ef244e2e5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/53f4165d-2c68-478d-9c88-da5fefec0185.jpg)