Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia ya Nyerere yaporwa kiwanja

FAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeporwa kiwanja ilichokuwa inamiliki na anayedaiwa kuwa mporaji ameanza ujenzi ambao unafanyika chini ya usimamizi wa walinzi wa miraba minne. Mtoa habari kutoka familia hiyo (jina limehifadhiwa), amesema kiwanja kilichoporwa kiko Msasani Beach karibu na makazi ya mjane wa Mwalimu, Mama Maria na ni namba 778.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere

Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius NyerereSIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa,...

 

11 years ago

Habarileo

Mvamizi kiwanja cha Nyerere ampuuza DC

NI wazi sasa kuwa mvamizi katika kiwanja cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ana kiburi na jeuri kwa kuwa ameamuru ujenzi kuendelea kinyume cha agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana. Rugimbana aliliambia gazeti hili kuwa ameshazuia ujenzi kuendelea katika kiwanja hicho, ili kupisha mazungumzo kati ya warithi ambao ni familia ya Mwalimu Nyerere na mfanyabiashara anayedai kununua eneo hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Kiwanja cha Nyerere chapigwa ‘danadana’

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan RugimbanaFAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeendelea kupigwa chenga na viongozi wa Wilaya ya Kinondoni, walikokwenda mara kadhaa kufuatilia haki ya kiwanja walichoachiwa na baba yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Familia ya Nyerere yaenda Qunu kumzika Mandela

Familia ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itawakilishwa katika mazishi ya Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, ambaye atazikwa kesho katika Kijiji cha Qunu, Mthatha Jimbo la Eastern Cape.

 

9 years ago

Mtanzania

Familia ya Leticia Nyerere kutoa tamko Ijumaa

leticia nyerereNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

FAMILIA ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere, imesema baada ya kukamilisha majadiliano inatarajia kutoa tamko la kifamilia Januari mosi.

Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam, msemaji wa familia ya Msobi Mageni, John Shibuda, alisema kwa sasa haina cha kuzungumza na kwamba baada ya kukaa ndipo itakuwa na neno la kusema.

Alisema mgonjwa bado yupo hospitali na kwamba familia ndiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani

Uongozi wa Mamlaka za Viwanja vya Ndege Tanzania wameshauriwa kuwa makini katika ujenzi unaoendelea wa jengo la kutua na kupaa ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyere (JNIA).
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...

 

10 years ago

Vijimambo

TAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.

Mwonekano wa jengo la kushushia na kupandiashia abiria linaloendelea kujengwa katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.Mshauri Mkaazi wa ujenzi wa jengo la kufikia abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere akimwonyesha Naibu Katibu Mtendaji- Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Bibi. Florance Mwanri (Kulia) maendeleo mradi huo.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Bw. Suleiman S. Suleiman akitoa maelezo ya ujenzi wa jengo la kupikia na...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete atoka wodini, familia ya Nyerere yatuma salamu

Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani