Mvua yazuia uzinduzi wa siku ya wanawake Morogoro.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani uliotarajiwa kufanyika jumanne hii mkoani Morogoro umeahirishwa mpaka hapo utakapotangwaza tena kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha majira ya saa kumi na kuharibu maandalizi yote yaliyokuwa yamefanyika.
Maadhimisho hayo yalitarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohamed Shein.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika viwanja vya jamhuri...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
GPLMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CbY9rkI75qU/VP1y2dlIiRI/AAAAAAAHI6k/hx78ijHH2n4/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-CbY9rkI75qU/VP1y2dlIiRI/AAAAAAAHI6k/hx78ijHH2n4/s1600/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjJLAflc9PE/VP1zX4qZusI/AAAAAAAHI70/9rx5Z1L9k2I/s1600/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8S97E3dPDxY/VP1z9gYUAKI/AAAAAAAHI9E/bTgfzUmsd6g/s1600/m3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-APkCfAd_z_Y/VP1z96buJXI/AAAAAAAHI9I/AveWLG25e-s/s1600/m4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H8CzxTgwdUc/VP10It3tCmI/AAAAAAAHI9s/0zdtai3j-HA/s1600/m5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q-vYege5-gw/VP10FOjA0MI/AAAAAAAHI9c/Vv3XIAhEXro/s1600/m6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s72-c/pix-03AA-768x512.jpg)
TANESCO MOROGORO WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA WAREKEBISHWA GEREZA LA KINGORWUILA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s640/pix-03AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-05AA-1024x682.jpg)
Wafanyakazi wa TANESCO Mkoa wa Morogoro wakisheherekea siku ya Wanawake Duniani katika viwanja vya Jamuhuri Manispaa ya Morogoro
…………………………………………………………
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Jamii imeaswa kusaidia watu wenye uhitaji wakiwemo walioko magerezani hususani wanawake kwa kuwa bado wanauhitaji wa vitu mbalimbali kama binaadamu wengine walioko uraiani.
Wito huo umetolewa na meneja wa TANESCO Mkoa wa Morogoro Mhandisi Fedgrace Shuma baada ya kutembelea gereza la wanawake la kingorwuila lililopo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Wengi wajitokeza katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake Jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKLEX55uzQw/VlXDAndTniI/AAAAAAAAePA/N4S4RZlDZ0I/s640/IMG_3856.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SDa7WPUjk8/VlXCwai6VHI/AAAAAAAAeOY/mt42k9QG_mg/s640/IMG_3801.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8gMr40bdEo8/VlXCubgVmlI/AAAAAAAAeOQ/b0MjUl7xlv8/s640/IMG_3808.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8-Mp7f7qxg/VlXCyJQ8X5I/AAAAAAAAeOg/lSZil91DbUE/s640/IMG_3813.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C8jyQeRaYHc/VlXDJknotxI/AAAAAAAAePU/YGbku6k4_T0/s640/IMG_3889.png)
Maelfu wajitokeza katika maandamano ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, hapa wakiendelea na matembezi ya kupinga ukatili wa Kijinsia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QtFPlgeZfMo/VlXDTBiTPdI/AAAAAAAAeP4/VRxNW2WDcNE/s640/IMG_3933.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bL1Gfh9UbsI/VlXDXTuE1qI/AAAAAAAAeQI/7kmRJkIDNhc/s640/IMG_3940.png)
Maandamano yakipokelewa na Mkurugenzi wa shirika la misaada la Marekani USAID Daniel Moore, Mwakilishi wa Balozi wa Ireland nchini Maire Matthews, Mwakilishi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa Wanawake Lucy Melele, Mkurugenzi wa shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika – WiLDAF, Dr. Judith Odunga, pamoja na wawakilishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s72-c/3e.jpg)
UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s1600/3e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mtLEbLOITY/VHxzx_7tVAI/AAAAAAACvoE/xaAQmmR50wE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bSRvfyHJIE8/VHxzx1n-8QI/AAAAAAACvoA/JSsoOzjH2Hk/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFIKIA TAMATI MKOANI MOROGORO DESEMBA 9-2014
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10