Mwanahabari ajeruhiwa kampeni udiwani Bunda
WATU watatu akiwemo mwanahabari wa gazeti la Mwananchi, Christopher Maregesi (40), wamejeruhiwa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Pamoja na Maregesi aliyekuwa kazini wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV14 Jan
Mfanyabiashara auawa, mwingine ajeruhiwa Bunda.
Na Ahmed Makongo,
Bunda Mara.
Mfanyabiashara mmoja wa kuuza samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Mara Philpo Kalangi tukio la kwanza lilitokea Januari 12 mwaka huu majira ya saa 3 usiku katika eneo la Nyasura mjini Bunda ambapo mfanyabiashara huyo akiwa na mke wake wakati wakirejea nyumbani alipigwa risasi na watu wasiofahamika ambao...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mwanahabari achukua fomu za udiwani kata ya Kipawa jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-B7lCZ6kOQOU/VanUZ3V4JbI/AAAAAAAAhmA/2lJGZ4ywarg/s640/IMG-20150717-WA026.jpg)
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Emmanuel Barnabas Maro, anayewania kuteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya udiwani katika kata ya Kipawa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam akionyesha fomu alizokabidhiwa na Katibu kata ya Kipawa Amina Sebo.
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kampeni za udiwani balaa
KAMPENI za uchaguzi mdogo wa madiwani zimeingia katika hatua mbaya baada ya Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ubagwe, Alphonce Kimaro, kukatwa mapanga, huku Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbayi, akipandishwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b4RbCQetRX4/UvcZ9apUmYI/AAAAAAAFL3w/iQ_wKwv76W8/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Membe afunga kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya kiwalala
![](http://2.bp.blogspot.com/-b4RbCQetRX4/UvcZ9apUmYI/AAAAAAAFL3w/iQ_wKwv76W8/s1600/unnamed+(21).jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo
Katibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10