Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaharakati wa kwanza DRC

Mapema miaka ya elfu moja na mia tisa, mmishionari Alice Seeley-Harris kutoka Uingereza alifanya kampeni ya kwanza kabisa kwa kutumia picha, ili kupambana na ukiukwaji wa haki za binaadam DRC

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona

Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela: Mwanaharakati wa Ukimwi

Mwaka 2005, Mandela alitangaza kuwa mtoto wake kijana alifariki kutokana na ugonjwa wa ukimwi na kuwataka watu kujizuia na ngono nzembe

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati Mpalestina aachiwa huru

Mwanaharakati wa kipalestina Khader Adnan ameachiwa kutoka gerezani na utawala wa Israel

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati afikisha mahakamani Uchina

Kiongozi wa maandamano ya mwaka jana ya kuunga mkono demokrasia nchini Hong Kong ameshtakiwa kwa makosa ya kukusanyika kiharamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati anayejifanya mtu mweusi

Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati anayejidai kuwa ''Mweusi''

Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saratani:Mwanaharakati ajifunga nyororo

Asema serikali na jamii kwa jumla inapaswa kutoa raslimali zilizopo kununua vifaa vya tiba kwa wagonjwa ambao wanangojea tiba hadi mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru

Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati maarufu auawa Pakistan

Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Pakistan Sabeen Mehmud ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu Karachi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani