Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanajeshi wa Uholanzi ajiunga na Islamic state

Afisa mmoja wa jeshi la wanahewa la Uholanzi adaiwa kusafiri hadi nchini Syria na kujiunga na kundi la wapiganaji la Islamic State

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ngassa ajiunga Free State ya Afrika Kusini

Mshambuliaji wa Yanga akiwapungia mashabiki wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam juzi. Ngassa yuko njiani kutimkia Afrika Kusini kucheza soka la kulipwa. Picha na Anthony Siame.
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.Ngassa alifanya majaribio katika klabu hiyo ya Afrika Kusini alipokuwa na kikosi cha Taifa Stars nchini Botswana katikati ya mwaka jana.Katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kupambana na Islamic State

Marekani imetoa tamko kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria na Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho

Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama

 

10 years ago

BBC

How strong is Islamic State in Libya?

How powerful is Islamic State in Libya?

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yashambulia Islamic State

Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria

 

9 years ago

BBCSwahili

Washukiwa 14 wa 'Islamic state' wakamatwa

Uhispania na Morocco zimewatia mbaroni watu 14 katika operesheni ya pamoja, iliyowalenga washukiwa wanaoandikishwa kujiunga na kundi la wanamgambo wa Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yaungana dhidi ya Islamic State

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuzidisha juhudi za kukabiliana na Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Islamic State kushambulia Munich

Polisi mjini Munich wamefunga vituo vikuu viwili vya treni baada ya idara ya ujasusi kuonya kuwa kungetokea shambulio, maafisa wanasema.

 

10 years ago

BBC

Boko Haram declares 'Islamic state'

Militant group Boko Haram says it has set up an Islamic state in towns and villages it has seized in Nigeria, but the army rejects the claim as "empty".

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani