Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamfalme ahusishwa na unyanyasaji UK

Kasri ya Buckingham imepinga madai kwamba mmoja ya wana wa malkia Mwanamfalme Andrew amekuwa akijihusisha na tabia mbaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwingereza ahusishwa Simba

SimbaNA MWANDISHI WETU
UONGOZI wa timu ya Simba kwa sasa upo kwenye mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya baada ya kuachana na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyeiongoza timu hiyo kushika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita.
Habari zilizolifika MTANZANIA jana zimeeleza kuwa Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na wakala wa kocha mmoja raia wa England, ambaye jina lake lilifichwa aliyewahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini.
“Wakala wake katua nchini juzi (wikiendi iliyopita) na wamefanya naye mazungumzo...

 

10 years ago

GPL

KOVA AHUSISHWA NA FREEMASON

Stori: Makongoro Oging’ KIMENUKA! Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova, wiki iliyopita alifunguka kuwa, kuna watu wamekuwa wakimhusisha na imani ya Freemason.
Kamanda Kova aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya usalama wa mkoa wake kuelekea Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ahusishwa mapigano Igunga

MKUU wa Wilaya (DC) ya Kishapu, Wilson Mkambaku, amehusishwa kuwa nyuma ya mapigano yaliyozuka  kati ya  wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Isakamaliwa, wilayani Igunga, Tabora na kusababisha watu watano...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme mahakamani Uhispania

Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme kupeana dola bilioni 32

Mwanamfale wa Saudi Arabia Alwaleed Bin Talal amesema anatoa mali yake yote kwa hisani

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme wa Uingereza aikashifu FIFA

Mwana wa mfalme wa Uingereza, William ametoa wito kwa shirikisho la soka duniani FIFA kuweka maslahi ya soka mbele ya matamanio ya kibinafsi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Straus Kahn ahusishwa na ukahaba

Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa kwa kuhusika na mtandao wa ukahaba

 

9 years ago

BBCSwahili

Mihadarati:Mwanamfalme wa Saudia akamatwa

Maafisa wa kupambana na matumizi ya mihadarati nchini Lebanon wamekamata ndege ya Saudia iliyokuwa imebeba tani 2 ya mihadarati

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme wa Saudia amshutumu Trump

Mwanamfalme Alwaleed bin Talal wa Saudi Arabia amemshutumu Donald Trump kwa kupendekeza Waislamu wazuiwe kuingia Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani