Mwingereza ahusishwa Simba
NA MWANDISHI WETU
UONGOZI wa timu ya Simba kwa sasa upo kwenye mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya baada ya kuachana na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyeiongoza timu hiyo kushika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita.
Habari zilizolifika MTANZANIA jana zimeeleza kuwa Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na wakala wa kocha mmoja raia wa England, ambaye jina lake lilifichwa aliyewahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini.
“Wakala wake katua nchini juzi (wikiendi iliyopita) na wamefanya naye mazungumzo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HfxuNmR0vA/VNsue8lTEDI/AAAAAAAHDCE/PFJMRzOrVZg/s72-c/GO9G8667.jpg)
Mwingereza atajwa Tamasha la Pasaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HfxuNmR0vA/VNsue8lTEDI/AAAAAAAHDCE/PFJMRzOrVZg/s1600/GO9G8667.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama alisema katika taarifa yake kuwa mwaka huu wanataka kutoka kivingine. “Mashabiki wamekuwa wakiomba tumualike Ayobami, bado tunapokea maoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Rn5ueynVmjy*3DDYwA2EUyS-fNEvHICf5wGGg05-fnnycNi8mdMjA-A2EEJ1gT1spHcUD7SyTcZ30RZ4L0JTO9/Thompson.jpg?width=650)
MWINGEREZA ALIYESILIMU AUAWA AKIWA NA AL-SHABAAB KENYA
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mwingereza Jermaine Grant afungwa jela Kenya
9 years ago
Mwananchi27 Dec
KUTOKA LONDON : Rais Obama alivyokwenda vichakani na mwingereza mpenda pori maarufu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MuOxPJ5Z1bQDubb7TgHzy8PbWasT3MJxxuKSrUG5enG3SXGqn0Pbxm9nQP8dSrjeucRldkVMZz9xOa2z*dTxEsm/kova.jpg)
KOVA AHUSISHWA NA FREEMASON
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mwanamfalme ahusishwa na unyanyasaji UK
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
DC ahusishwa mapigano Igunga
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kishapu, Wilson Mkambaku, amehusishwa kuwa nyuma ya mapigano yaliyozuka kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Isakamaliwa, wilayani Igunga, Tabora na kusababisha watu watano...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.
Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Straus Kahn ahusishwa na ukahaba