Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.
Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Ulimwengu kutua Besiktas Uturuki
NA MWANDISHI WETU
MSHAMBULIAJI wa Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe, Thomas Ulimwengu yupo njiani kujiunga na klabu ya Besiktas ya nchini Uturuki.
Taarifa hii inakuja ikiwa ni siku chache tangu nyota mwingine wa Tanzania anayekipiga naye katika klabu ya Mazembe, Mbwana Samatta, kuwa kwenye mazungumzo na klabu ya K.R.C Genk ya nchini Ubelgiji
Chanzo cha karibu na Ulimwengu kimesema kuwa tayari Besiktas wameanza mazungumzo ya awali na mchezaji huyo aliyetokea kwenye Akademi ya Shirikisho la...
11 years ago
Michuzi
SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI

Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kazimoto kutua leo, Samata, Ulimwengu ndani ya Taifa Stars
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ufaransa: Ahadi hazitoshi kuokoa ulimwengu
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura…
Matukio ya ajali za ndege yalichukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Kuna hii nyingine inayohusisha ndege ya abiria aina ya Air France Boeing 777 AF463, iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Mauritius na Paris ambapo imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kuwepo hofu ya bomu. […]
The post Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Mwingereza ahusishwa Simba
NA MWANDISHI WETU
UONGOZI wa timu ya Simba kwa sasa upo kwenye mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya baada ya kuachana na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyeiongoza timu hiyo kushika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita.
Habari zilizolifika MTANZANIA jana zimeeleza kuwa Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na wakala wa kocha mmoja raia wa England, ambaye jina lake lilifichwa aliyewahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini.
“Wakala wake katua nchini juzi (wikiendi iliyopita) na wamefanya naye mazungumzo...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
DC ahusishwa mapigano Igunga
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kishapu, Wilson Mkambaku, amehusishwa kuwa nyuma ya mapigano yaliyozuka kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Isakamaliwa, wilayani Igunga, Tabora na kusababisha watu watano...
11 years ago
GPL
KOVA AHUSISHWA NA FREEMASON