KOVA AHUSISHWA NA FREEMASON
![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MuOxPJ5Z1bQDubb7TgHzy8PbWasT3MJxxuKSrUG5enG3SXGqn0Pbxm9nQP8dSrjeucRldkVMZz9xOa2z*dTxEsm/kova.jpg)
Stori: Makongoro Oging’ KIMENUKA! Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova, wiki iliyopita alifunguka kuwa, kuna watu wamekuwa wakimhusisha na imani ya Freemason. Kamanda Kova aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya usalama wa mkoa wake kuelekea Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akizungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Mwingereza ahusishwa Simba
NA MWANDISHI WETU
UONGOZI wa timu ya Simba kwa sasa upo kwenye mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya baada ya kuachana na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyeiongoza timu hiyo kushika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita.
Habari zilizolifika MTANZANIA jana zimeeleza kuwa Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na wakala wa kocha mmoja raia wa England, ambaye jina lake lilifichwa aliyewahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini.
“Wakala wake katua nchini juzi (wikiendi iliyopita) na wamefanya naye mazungumzo...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
DC ahusishwa mapigano Igunga
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kishapu, Wilson Mkambaku, amehusishwa kuwa nyuma ya mapigano yaliyozuka kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Isakamaliwa, wilayani Igunga, Tabora na kusababisha watu watano...
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mwanamfalme ahusishwa na unyanyasaji UK
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Straus Kahn ahusishwa na ukahaba
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
M'marekani ahusishwa na fedha bandia UG
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.
Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Spika ahusishwa na kashfa ya kuwauza watoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-96jTqVgHRJE/Xk6WRGToaNI/AAAAAAALejI/nwqFa5wQkwgVJ0MSWmn7SoAPfkfbSDOYwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-20%2Bat%2B3.00.08%2BPM.jpeg)
Rais wa PSG ahusishwa na makosa ya jinai
![](https://1.bp.blogspot.com/-96jTqVgHRJE/Xk6WRGToaNI/AAAAAAALejI/nwqFa5wQkwgVJ0MSWmn7SoAPfkfbSDOYwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-20%2Bat%2B3.00.08%2BPM.jpeg)
Yassir Simba , Michuzi tvRAIS wa klabu ya Paris Saint German (PSG) Nasser Al Khelaifi amehusishwa na makosa ya jinai nchini Swirzerland dhidi ya Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Dunia FIFA Jerome Valcke.
Kupitia mtandao wa habari za kimichezo goal.com umesema taarifa iliyotoka katika ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Nchini Switzerland imedai kwamba raisi huyo wa klabu ya PSG alimpatia rushwa ya kiasi cha fedha euro million 1.25...
10 years ago
Vijimambo25 Nov
Muhongo ahusishwa wizi nyaraka za Escrow bungeni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Muhongo-November25-2014.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ametajwa kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja kati ya vijana wawili wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuiba kutoka Ofisi ya Katibu wa Bunge ripoti ya ukaguzi wa hesabu za zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Ukaguzi huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...