Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulimwengu kutua Besiktas Uturuki

Thomas+Ulimwengu+Club+America+v+TP+Mazembe+E5RcS2Rbf4flNA MWANDISHI WETU

MSHAMBULIAJI wa Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe, Thomas Ulimwengu yupo njiani kujiunga na klabu ya Besiktas ya nchini Uturuki.

Taarifa hii inakuja ikiwa ni siku chache tangu nyota mwingine wa Tanzania anayekipiga naye katika klabu ya Mazembe, Mbwana Samatta, kuwa kwenye mazungumzo na klabu ya K.R.C Genk ya nchini Ubelgiji

Chanzo cha karibu na Ulimwengu kimesema kuwa tayari Besiktas wameanza mazungumzo ya awali na mchezaji huyo aliyetokea kwenye Akademi ya Shirikisho la...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI

Wachezaji wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanatarajiwa kuwasili Jumamosi mchana (Mei 17 mwaka huu) kujiunga na Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors).
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...

 

9 years ago

Mtanzania

Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa

thomas-ulimwenguNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.

Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kazimoto kutua leo, Samata, Ulimwengu ndani ya Taifa Stars

Kiungo wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto atawasili leo na kuungana na wenzake katika kikosi cha Taifa Stars kinachojiandaa na mechi dhidi ya Msumbiji Jumapili. 

 

11 years ago

BBC

Besiktas in negotiations to sign Ba

Turkish side Besiktas reveal they are in talks with Chelsea to sign Senegal international striker Demba Ba.

 

10 years ago

BBC

Tottenham Hotspur 1-1 Besiktas

Senegal striker Demba Ba scores a late penalty as Besiktas hold Tottenham to a 1-1 draw in the Europa League.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

5 years ago

Mirror Online

Calamity Liverpool keeper Loris Karius 'lined up for Premier League return' after Besiktas spell

Calamity Liverpool keeper Loris Karius 'lined up for Premier League return' after Besiktas spell  Mirror OnlineLoris Karius could be offered realistic route back to the Bundesliga  This Is AnfieldLiverpool receive Loris Karius transfer offer and make decision on flop amid Adrian doubts  ExpressReport: Liverpool flop Loris Karius wanted by Bundesliga outfit  TBR - The Boot Room - Football NewsThree motivators to sway exiled Liverpool flop into Bundesliga move  Teamtalk.comView Full coverage...

 

9 years ago

TheCitizen

Samatta, Ulimwengu, Ngassa out

Tanzanian TP Mazembe duo Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu as well as Mrisho Ngassa who ply his trade with South African Free State Stars have been left out of the Kilimanjaro Stars squad that will take part in the forthcoming Cecafa Senior Challenge Cup to be held in Ethiopia.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ulimwengu, Samatta kiboko’

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa amewapongeza washambuliaji wakeThomas Ulimwengu na Mbwana Samatta kwa kucheza vizuri licha ya kutopata muda wa kupumzika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani