Ulimwengu kutua Besiktas Uturuki
NA MWANDISHI WETU
MSHAMBULIAJI wa Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe, Thomas Ulimwengu yupo njiani kujiunga na klabu ya Besiktas ya nchini Uturuki.
Taarifa hii inakuja ikiwa ni siku chache tangu nyota mwingine wa Tanzania anayekipiga naye katika klabu ya Mazembe, Mbwana Samatta, kuwa kwenye mazungumzo na klabu ya K.R.C Genk ya nchini Ubelgiji
Chanzo cha karibu na Ulimwengu kimesema kuwa tayari Besiktas wameanza mazungumzo ya awali na mchezaji huyo aliyetokea kwenye Akademi ya Shirikisho la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L8Ge94vClkI/U3UStG_muSI/AAAAAAAFh8M/pqIVqNX-Ep4/s72-c/TFF+Logo.jpg)
SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L8Ge94vClkI/U3UStG_muSI/AAAAAAAFh8M/pqIVqNX-Ep4/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.
Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kazimoto kutua leo, Samata, Ulimwengu ndani ya Taifa Stars
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76296000/jpg/_76296897_demba_ba.jpg)
Besiktas in negotiations to sign Ba
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77979000/jpg/_77979364_dembaba.jpg)
Tottenham Hotspur 1-1 Besiktas
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
5 years ago
Mirror Online27 Mar
Calamity Liverpool keeper Loris Karius 'lined up for Premier League return' after Besiktas spell
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Samatta, Ulimwengu, Ngassa out
9 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Ulimwengu, Samatta kiboko’