Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa: Ahadi hazitoshi kuokoa ulimwengu

Rais wa Ufaransa amesema kuwa ahadi zinazotolewa na viongozi zinahitaji kutekelezwa ilikuokoa ulimwengu kutokana na mabadiliko ya tabia nchi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ulimwengu ahusishwa kutua Ufaransa

thomas-ulimwenguNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu, imezidi kung’ara baada ya kupata dili lingine barani Ulaya.

Klabu ya TP Mazembe imethibitisha kupokea ofa kutoka klabu ya AS Sainti Etienne inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 na huenda straika huyo akaungana na Mbwana Samatta kucheza soka la kulipwa barani Ulaya baada ya taarifa za mshambuliaji huyu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Sall: Pesa wanazotoa EU hazitoshi Afrika

Rais wa Senegal Macky Sall amesema hazina ya $1.9bn (£1.2bn) iliyoundwa na mataifa ya Ulaya ni hatua nzuri lakini akasema pesa hizo hazitoshi.

 

10 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?

Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.

 

11 years ago

Mwananchi

Malecela: Siku 60 hazitoshi kukamilisha Katiba Mpya

>Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema siku 60 zilizotengwa kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya kabla ya kupelekwa kwa wananchi hazitoshi kwa kazi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngeze: Kura za wana CCM pekee hazitoshi

Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze amesema wameunda kamati ya wazee wa mkoa huo ili watumie uzoefu wao kutafuta ushindi, akisema kura za wanachama pekee haziwezi kuwavusha wagombea wa chama hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu

Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwa”. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Nani anasema Sh300,000 kwa siku hazitoshi?

Hata kabla ya kupita wiki moja tangu Bunge Maalumu la Katiba kuanza rasmi shughuli zake, wajumbe wake wameendelea na vituko kiasi cha kutupa wasiwasi kama kweli wengi wa wajumbe hao wanastahili kutuwakilisha katika chombo hicho kufanya kazi ya kihistoria ya kutunga Katiba Mpya.

 

10 years ago

Vijimambo

UKAWA WACHARUKA, WASEMA HATUA ZA JK DHIDI YA WATUHUMIWA SAKATA LA ESCROW HAZITOSHI


Mwenyekiti mwenza wa vuguvugu la umoja wa katiba ya wananchi maarufu kama UKAWA, amjbaye pia ni mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, (Kulia), akifafanua jambo wakati wa mkutano wa umoja huo na waandihi wa habari makao makuu ya CUF, Buguruni jijini Dar es Salaam jana. UKAWA imejibu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete juu ya kashfa ya akaunti ya Tegeta-Escrow, kuwa hatua alizochukua hazijakidhi matarajio ya wananchi walio wengi na kutaka hatua zaidi zichukuliwe kwa kuwajibishwa wote waliotajwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ulimwengu, Samatta kiboko’

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa amewapongeza washambuliaji wakeThomas Ulimwengu na Mbwana Samatta kwa kucheza vizuri licha ya kutopata muda wa kupumzika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani