Mwanamke anayekabiliana na ugonjwa wa ugumba
Millen Magese ni shujaa aliyesahaulika kwa sababu amekuwa akihamasisha na kuhimiza wanawake wengine walioathirika na ugonjwa hatari unaosababisha ugumba kutokufa moyo na kupambana nao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Waridi wa BBC: Simulizi ya mwanamke anayekabiliana na ugonjwa uliobadili muonekano wake
Farah Khalek anasema muonekano wa sura yake ilimtisha hata yeye mwenyewe.
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Mwanamke anayesaidia wanaotatizwa na ugonjwa wa ugumba
Millen Magese ni shujaa aliyesahaulika kwa sababu amekuwa akihamasisha na kuhimiza wanawake wengine walioathirika na ugonjwa hatari unaosababisha ugumba kutokufa moyo na kupambana nao.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Ugumba kwa mwanamke
KARIBU katika safu ya makala ya afya, ili tuweze kufahamu mengi kuhusiana na afya zetu na hatimaye tujue jinsi ya kujikinga, ili tusipate magojwa mapya na matibabu kwa ujumla. Wanawake...
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Joyce Elias msichana albino anayekabiliana na changamoto za familia na jamii kufikia malengo yake
Joyce Elias Simon ni binti wa miaka 13 mwenye ulemavu ya ngozi , ni binti wa kitanzania ambaye maisha yake kwa ujumla na safari yake ya elimu ilijawa na misukosuko.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mwanaume na tatizo la Ugumba
 Ni ugonjwa unaokua kwa kasi katika jamii, hasa kwa wanaume. Hujulikana pia kitaalamu kama ‘infertility au sterility’.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Lm3ZTDSwr0ArYHPNOnCZCXoIBGxp31IdSNV90fxnm*YzrQr5SI2d*EKRkanO46hXkIYcV*jsZcvOLjBe0zrEcL/FRONTAMANI.gif?width=650)
UGUMBA WAMTESA WEMA
Na Imelda Mtema POLE sana! Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani. Staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanawake wanavyojiua, kujipa ugumba
Ripoti za hospitali nchini na Shirika la Afya Duniani (WHO), zinaonyesha kuwa baadhi ya wanawake hutoa mimba kwa njia zisizo salama, ambazo huharibu kizazi, kuwasababishia ugumba na wengine vifo.
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Kupunguza hatari za kupata ugumba
Juma lililopita tuliweza kuona mambo mbalimbali ambayo yakifanyika unaweza kupunguza hatari ya kupata ugumba, mambo hayo ikiwamo ulevi uliopindukia, matumizi ya tumbaku, ufanyaji kazi mazingira ya joto na kuepukana na ngono zembe ili usipate magonjwa ya zinaa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQ9K67*7e0pa89aWjfSjl*TngZcz1EQAf3b13NZxg5uC0jiPv4ZlQLNsVcgO5jbFWH3xdy9eNZxYJOxBqfWA*2W/4.jpg?width=650)
RAY C NAYE ATESWA NA UGUMBA
Musa mateja
WAKATI staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu akiweka wazi kuwa hawezi kupata ujauzito huku Judith Wambura ‘Jide’ naye akisumbuliwa na tatizo hilo, nyota wa muziki Rehema Chalamila, Ray C amefunguka na kusema kuwa hali ya kukosa mtoto ambayo ni sawa na ugumba, inamtesa, kwani katika umri wake wa miaka 33, hajabahatika kuwa naye,Risasi Jumamosi linakujuza. Nyota wa muziki Rehema Chalamila, Ray C. Akizungumza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania