Mwanaume na tatizo la Ugumba
 Ni ugonjwa unaokua kwa kasi katika jamii, hasa kwa wanaume. Hujulikana pia kitaalamu kama ‘infertility au sterility’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tatizo la mwanaume kupoteza au kukosa korodani
Ni tatizo au ugonjwa unaoweza kumpata mwanaume yeyote lakini zaidi kwa watoto wa kiume, hali hii inatokana na mtoto wa kiume kuzaliwa bila kuwa na korodani na hivyo mifuko ya korodani japo ipo lakini mitupu, au kuzaliwa na korodani lakini baadae zikapotea ghafla ukubwani.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
MWANAUME: Tatizo la guvu za kiume kwa wanaume
>Upungufu wa nguvu za kiume ni mojawapo ya tatizo la kiafya linaloumiza sana kisaikolojia wanaume wengi. Kufahamu ukweli wa jambo hili ni moja ya nyenzo ya kuweza kukabiliana nalo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Lm3ZTDSwr0ArYHPNOnCZCXoIBGxp31IdSNV90fxnm*YzrQr5SI2d*EKRkanO46hXkIYcV*jsZcvOLjBe0zrEcL/FRONTAMANI.gif?width=650)
UGUMBA WAMTESA WEMA
Na Imelda Mtema POLE sana! Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani. Staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Ugumba kwa mwanamke
KARIBU katika safu ya makala ya afya, ili tuweze kufahamu mengi kuhusiana na afya zetu na hatimaye tujue jinsi ya kujikinga, ili tusipate magojwa mapya na matibabu kwa ujumla. Wanawake...
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Mwanamke anayekabiliana na ugonjwa wa ugumba
Millen Magese ni shujaa aliyesahaulika kwa sababu amekuwa akihamasisha na kuhimiza wanawake wengine walioathirika na ugonjwa hatari unaosababisha ugumba kutokufa moyo na kupambana nao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQ9K67*7e0pa89aWjfSjl*TngZcz1EQAf3b13NZxg5uC0jiPv4ZlQLNsVcgO5jbFWH3xdy9eNZxYJOxBqfWA*2W/4.jpg?width=650)
RAY C NAYE ATESWA NA UGUMBA
Musa mateja
WAKATI staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu akiweka wazi kuwa hawezi kupata ujauzito huku Judith Wambura ‘Jide’ naye akisumbuliwa na tatizo hilo, nyota wa muziki Rehema Chalamila, Ray C amefunguka na kusema kuwa hali ya kukosa mtoto ambayo ni sawa na ugumba, inamtesa, kwani katika umri wake wa miaka 33, hajabahatika kuwa naye,Risasi Jumamosi linakujuza. Nyota wa muziki Rehema Chalamila, Ray C. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Kupunguza hatari za kupata ugumba
Juma lililopita tuliweza kuona mambo mbalimbali ambayo yakifanyika unaweza kupunguza hatari ya kupata ugumba, mambo hayo ikiwamo ulevi uliopindukia, matumizi ya tumbaku, ufanyaji kazi mazingira ya joto na kuepukana na ngono zembe ili usipate magonjwa ya zinaa.
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanawake wanavyojiua, kujipa ugumba
Ripoti za hospitali nchini na Shirika la Afya Duniani (WHO), zinaonyesha kuwa baadhi ya wanawake hutoa mimba kwa njia zisizo salama, ambazo huharibu kizazi, kuwasababishia ugumba na wengine vifo.
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Mwanamke anayesaidia wanaotatizwa na ugonjwa wa ugumba
Millen Magese ni shujaa aliyesahaulika kwa sababu amekuwa akihamasisha na kuhimiza wanawake wengine walioathirika na ugonjwa hatari unaosababisha ugumba kutokufa moyo na kupambana nao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania