Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAUME: Tatizo la guvu za kiume kwa wanaume

>Upungufu wa nguvu za kiume ni mojawapo ya tatizo la kiafya linaloumiza sana kisaikolojia wanaume wengi. Kufahamu ukweli wa jambo hili ni moja ya nyenzo ya kuweza kukabiliana nalo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

 Ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Kufahamu  kwa  kina  kuhusu  tatizo  la  ukosefu  &  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni muhimu  sana  kutembelea    link  hii  hapa  chini.http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.htmlLISHE  YA  NGUVU  ZA  KIUME  NI  NINI  ?Lishe  ya  nguvu  za  kiume  ni  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume

Utafiti uliofanywa nchini Denmark umeonyesha uzani wa mwanamume huathiri seli za mbegu za kiume na huenda ukachangia katika kuwafanya watoto wanaozaliwa kuwa wanene.

 

10 years ago

GPL

OYA MWANAUME, HUU MWEZI DUME JIKAZE KIUME!

Mambo vipi wakubwa? Inakuwaje wazazi hapo kwa fasi ya kitaa ya kati? Saidi hii ni mpango mzima. Unataka mambo matamtamu? Kaa humu wewe uwe mjanja. Mimi si ndo mjanja wenu? Basi barida. Ama nini? Ebana mambo ya mapanya rodi sijui mapaka rodi hebu tuyapige dauni tusiwape kiki kiivo. Zaidi ya hapo tukimbizane na hili laifu hadi kieleweke chaliiangu. Ebana wanangu kama mtu hukujipanga inabidi tukupange maana wewe utatumbuaje hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume waliofunga uzazi wadai nguvu za kiume zimeongezeka

Kuna njia mbalimbali za uzazi wa mpango na kila ya uzuiaji mimba ina faida zake na hasara. Hata hivyo kuna chaguo mbalimbali ambazo zinafanya kazi kwa kila mwanamke au mwanaume.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanaume na tatizo la Ugumba

 Ni ugonjwa unaokua kwa kasi katika jamii, hasa kwa wanaume. Hujulikana pia kitaalamu kama ‘infertility au sterility’.

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-2

unhappy-young-couple-sitting-on-bedTatizo la kupungukiwa nguvu za kiume linaweza kuwa na sababu za kihisia Emotional Causes lakini sababu nyingine hutokana na maradhi kama vile kisukari na shinikizo la juu la damu.

Inakadiriwa kuwa asilimia 50 hadi 60 ya wanaume wenye maradhi ya kisukari wana tatizo la uume kushindwa kusimama. Watu wanaosumbuliwa na kiharusi na ulevi nao wana hatari kubwa sana kwa sababu ya uharibifu wa korodani Testicles kutokana na ulevi sugu na kupoteza Testerone. Pombe hupunguza kwa kiasi kikubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu kutatua tatizo la nguvu za kiume

Baada ya kuona makala zilizoeleza sababu mbalimbali zinazosababisha matatizo ya nguvu za kiume, sasa tuwe pamoja kwa nguvu zote katika kipengele muhimu kinachohusu suluhisho la matatizo ya nguvu za kiume.

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-3

blonde-woman-looking-at-unhappy-man-in-bedWiki iliyopita tuliangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na tuliangalia utangulizi wa mada hii, leo ningependa kuendelea na vyanzo vinavyosababisha tatizo hilo.

Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume walio wengi:

Kujichua kwa muda mrefu
Mtu anapojichua anakuwa anaiminya mishipa inayosababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea hivyo linapokuja suala la kusimamisha uume, mwanaume husika anakuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba

Tumekuwa tukitoa elimu muhimu juu ya afya zetu kupitia makala mbalimbali katika ukurasa huu, leo ningependa nianzishe mada muhimu na yenye mguso mkubwa kwa jamii ya wanaume wa karne hii ya sasa.

Tatizo la nguvu za kiume limekuwa likiwasumbua wanaume wengi na limekuwa ni chachu ya kuvunjia kwa ndoa nyingi. Japokuwa tatizo hili linatibika na mtu akareje katika hali yake ya kawaida, wanaume wengi wamekuwa wakiona aibu kufika katika vituo vya tiba au kuonana na matatibu ili kupata ufumbuzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani