Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke anayesaidia wasichana kuwa wahandisi

Naadiya Moosajee ni mhandisi ambaye baada ya kugundua wanawake wahandisi ni wachache mno alianzisha mpango wa kuwahimiza na kuwasaidia wasichana kuwa wahandisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke anayesaidia wanaotatizwa na ugonjwa wa ugumba

Millen Magese ni shujaa aliyesahaulika kwa sababu amekuwa akihamasisha na kuhimiza wanawake wengine walioathirika na ugonjwa hatari unaosababisha ugumba kutokufa moyo na kupambana nao.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)

Na Aron Msigwa  Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini.  Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi kwa mwaka 2015 jana  jijini Dar es salaam, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Wahandisi wanao mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kwa kuifanya mipango iliyo kwenye karatasi kuwa katika...

 

9 years ago

GPL

BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya Siku ya Wahandisi Tanzania mwaka 2015 Prof.Bakari Mwinyiwiwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi nchini itakayofanyika Septemba 3 mpaka 4 jijini Dar es salaam.Kulia ni Msajili wa Wahandisi nchini Tanzania Muhandisi Steven Mlote na kushoto ni Msajili msaidizi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) Muhandisi Benedict Mukama. Msajili wa...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA 2015.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya Siku ya Wahandisi  Tanzania mwaka 2015 Prof. Bakari Mwinyiwiwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi nchini itakayofanyika Septemba 3 mpaka 4 jijini Dar es salaam.Kulia ni Msajili wa Wahandisi nchini Tanzania Muhandisi Steven Mlote na kushoto ni Msajili msaidizi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) Muhandisi Benedict MukamaMsajili wa Wahandisi nchini Tanzania Muhandisi Steven Mlote...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia

unnamed (1)

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).

unnamed

Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.

unnamed (2)

Maktaba ya shule hiyo.

unnamed (3)

unnamed (4)

Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.

unnamed (5)

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA‏

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani) Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro Maktaba ya shule…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke kuwa kocha mkuu Ufaransa

Klabu ya soka ya wanaume Clermont,imemteua Helena Costa kama kocha wake mkuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikata uume akitaka kuwa mwanamke

Msanii Mrusi aliyecheza katika filamu mashuhuri ya 'Burnt by the Sun 2', alipoteza uume wake baada ya kujikata akitaka kuwa mwanamke.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sura ya mwanamke kuwa katika noti mpya

Marekani imepanga kuchapa noti mpya ya dola kumi yenye picha ya mwanamke ambaye atapendekezwa na Wamarekani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani