Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke katika ulinzi wa amani

>Siyo wanaume peke yao wanaokwenda vitani kusaidia kuleta amani, wapo wanawake kati yao. Wanawake tena warembo wamekuwa wakivaa sare za jeshi na kusonga mstari wa mbele kusaidia kuleta amani katika nchi mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TUTANDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI - TANZANIA

Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza wakati wa  ufunguzi wa semina ya siku moja kuhusu ujumuishwaji katika mchakato wa  uboreshaji wa  taasisi za usalama (SSR), semina hiyo ya siku moja  ilifanyika siku ya jumanne katika  Uwakilishi wa Kudumu wa  Japan katika Umoja wa Mataifa na iliandaliwa kwa ubia kati ya Japan, Tanzania na...

 

11 years ago

Michuzi

TUTENDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI-TANZANIA

Na Mwandishi Maalum Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kwamba itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa na Jumuiya za Kikanda katika jitihada za urejeshwaji na uimarishaji wa mazingira ya amani na usalama katika nchi zenye migogoro.   Kauli hiyo imetolewa na Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja iliyoandaliwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN-MHE SIMBA

Mhe. Sophia Simba ( Mb) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akizungumza (alhamisi) katika majadiliano ya jumla katikamkutano wa Kamisheni 59 kuhusu Hadhi ya Wanawake. Mhe. Waziri anaongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwamo wajumbe kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.Tanzania ni kati ya nchi 13 zinazoiwakilisha Afrika katika Kamisheni hii inayoundwa na nchi 45.Katika picha hii ya maktaba anaoneka Mhe. Asha-Rose Migiro ( Mb) wakati huo akiwa Naibu Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

NI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN - MHE SIMBA

Katika picha hii ya maktaba anaoneka Mhe. Asha-Rose Migiro ( Mb) wakati huo akiwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akiwa na baadhi ya askari wanawake kutoka JWTZ wanaoshiriki katika operesheni ya kulinda amani kupitia Umoja wa Mataifa huko Lebanon. Katika mchango wake, Mhe. Simba pamoja na mafanikio mengine ambayo Tanzania imeyapata katika miaka 20 tangu mkutano wa Beijing ni pamoja na askari wanawake kupata fursa za kushiriki katika operesheni za kulinza amani zinazoratibiwa na Umoja...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUONGEZA USHIRIKI WAKE KATIKA OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI-MHE. MEMBE

Na Mwandishi Maalum, New York Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuongeza kiwango cha ushiriki wake katika Operesheni za Ulinzi wa Amani kupitia Umoja wa Mataifa, ambapo imebainisha kusudio lake thabiti la kuongeza vikosi vitatu ili kusaidia kurejesha Amani palipo na migogoro ndani ya Afrika. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ( Mb) ametoa ahadi hiyo siku ya Ijumaa, hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa kilele wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA KUONGEZA USHIRIKI WAKE KATIKA OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI-MHE. MEMBE

Waziri wa  Mambo ya Nje na  Ushirikiwano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe  akizungumza wakati wa mkutano wa Kilele wa ngazi ya Mawaziri uliozungumzia  Uimarishaji wa Operesheni za Kulinda Amani. Mkutano huo uliandaliwa na  Marekani ambapo Makamu wa Rais wa nchi hiyo Bw. Joe Biden ndiye aliyeongoza mkutano.  Waziri  Membe ametoa ahadi ya ushiriki zaidi wa Tanzania  katika operesheni  za kulinda amani chini ya Umoja wa Maifa
 Sehemu ya washiriki wa mkutano wa  uimarishaji wa  Operesheni za...

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI HESS: TANZANIA NI NGOME YA ULINZI WA AMANI NA USALAMA AFRIKA

Tanzania imetajwa kuwa kuwa ngome ya Amani Barani Afrika kwa kuwafanya raia wake na taifa kwa ujumla kuishi kwa amani na kuendelea kutoa misaada ya Ulinzi wa Usalama katika nchi jirani zinazokumbwa na machafuko ya kisiasa.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Balozi mteule wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Regina Hess wakati wa hafla ya uzinduzi wa karakana kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyojengwa na Serikali ya Ujerumani kwa gharama ya Tsh. Bilioni 8.5....

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA ZA MISHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI-JENERALI MWAMUNYANGE

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa katika ukumbi wa Baraza la Uchumi la Umoja wa Mataifa maarufu kama ECOSOC ambapo ndipo ulipofanyika mkutano wa kihistoria wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Maafisa wa ngazi za juu kutoka nchi zinazochangia katika Operesheni za Ulinzi wa Amani chini ya Umoja wa Mataifa. Akichangia majadiliano ya mkutano huo. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amelishauri Baraza Kuu la Usalama na UN kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ya misheni ...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA ZINAZOHUSU OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI- JENERALI MWAMUNYANGE

Na Mwandishi Maalum, New York Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishauri Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ( mandate) ambayo misheni ya kulinda Amani itapaswa kutelekeza kule inakopangiwa kwenda.  Ametoa ushauri huu siku ya Alhamisi wakati alipokuwa akitoa mchango wake kwenye mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi ambao nchi zao zinachangia katika operesheni za ulinzi wa Amani za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani