Mwanamke katika ulinzi wa amani
>Siyo wanaume peke yao wanaokwenda vitani kusaidia kuleta amani, wapo wanawake kati yao. Wanawake tena warembo wamekuwa wakivaa sare za jeshi na kusonga mstari wa mbele kusaidia kuleta amani katika nchi mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJB3tpbrCAflb0qJn5tFyq-lTJlvByOzb2h8hwNwZceEWMvqYdw2rcSyoLJoXL-Mi0jIkSX*UJ*ve1ANcc6SLiK/balozi1.jpg?width=650)
TUTANDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI - TANZANIA
Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kuhusu ujumuishwaji katika mchakato wa uboreshaji wa taasisi za usalama (SSR), semina hiyo ya siku moja ilifanyika siku ya jumanne katika Uwakilishi wa Kudumu wa Japan katika Umoja wa Mataifa na iliandaliwa kwa ubia kati ya Japan, Tanzania na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cYRSok9v8pw/U1ineIpq-FI/AAAAAAAFcnY/wx16Ko_f-p0/s72-c/unnamed+(4).jpg)
TUTENDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI-TANZANIA
Na Mwandishi Maalum
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kwamba itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa na Jumuiya za Kikanda katika jitihada za urejeshwaji na uimarishaji wa mazingira ya amani na usalama katika nchi zenye migogoro.
Kauli hiyo imetolewa na Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja iliyoandaliwa...
10 years ago
VijimamboNI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN-MHE SIMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXEh8kQ3fIE/VQJYHpHkX2I/AAAAAAADb9g/p7TNPCI8ARE/s1600/496212%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RLzXKQLOh40/VQKMDa4A19I/AAAAAAAHJ_g/jzsE7flib7c/s72-c/496212%2B-%2BCopy.jpg)
NI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN - MHE SIMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RLzXKQLOh40/VQKMDa4A19I/AAAAAAAHJ_g/jzsE7flib7c/s1600/496212%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ODTZVoMz6dk/VCYmMZtGpwI/AAAAAAAGmEc/sP0pz2ThuDk/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
TANZANIA KUONGEZA USHIRIKI WAKE KATIKA OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI-MHE. MEMBE
Na Mwandishi Maalum, New York Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuongeza kiwango cha ushiriki wake katika Operesheni za Ulinzi wa Amani kupitia Umoja wa Mataifa, ambapo imebainisha kusudio lake thabiti la kuongeza vikosi vitatu ili kusaidia kurejesha Amani palipo na migogoro ndani ya Afrika. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ( Mb) ametoa ahadi hiyo siku ya Ijumaa, hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa kilele wa...
10 years ago
VijimamboTANZANIA KUONGEZA USHIRIKI WAKE KATIKA OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI-MHE. MEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-AGuZ9UNfek4/VCZZmrO2gTI/AAAAAAADFjo/Yma0y-acPqA/s1600/604478.jpg)
Sehemu ya washiriki wa mkutano wa uimarishaji wa Operesheni za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aKrVSgsYDU/XmuMBmym1iI/AAAAAAALi8A/dHbnCbz9l-0tSt5WkBeMwNV77G8dLXkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/21.jpg)
BALOZI HESS: TANZANIA NI NGOME YA ULINZI WA AMANI NA USALAMA AFRIKA
Tanzania imetajwa kuwa kuwa ngome ya Amani Barani Afrika kwa kuwafanya raia wake na taifa kwa ujumla kuishi kwa amani na kuendelea kutoa misaada ya Ulinzi wa Usalama katika nchi jirani zinazokumbwa na machafuko ya kisiasa.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Balozi mteule wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Regina Hess wakati wa hafla ya uzinduzi wa karakana kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyojengwa na Serikali ya Ujerumani kwa gharama ya Tsh. Bilioni 8.5....
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Balozi mteule wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Regina Hess wakati wa hafla ya uzinduzi wa karakana kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyojengwa na Serikali ya Ujerumani kwa gharama ya Tsh. Bilioni 8.5....
10 years ago
VijimamboMAMLAKA ZA MISHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI-JENERALI MWAMUNYANGE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VxWu5MJs4MI/VRY05nLKl8I/AAAAAAAHNvU/eFQb7AJQr2c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
MAMLAKA ZINAZOHUSU OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI- JENERALI MWAMUNYANGE
Na Mwandishi Maalum, New York Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishauri Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ( mandate) ambayo misheni ya kulinda Amani itapaswa kutelekeza kule inakopangiwa kwenda. Ametoa ushauri huu siku ya Alhamisi wakati alipokuwa akitoa mchango wake kwenye mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi ambao nchi zao zinachangia katika operesheni za ulinzi wa Amani za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania