Mwanasheria akosoa muundo Bunge la Katiba
>Mwanasheria maarufu, Profesa Chris Peter Maina ameuponda muundo wa Bunge la Katiba la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kushauri utizamwe upya kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Mar
‘Muundo Bunge la Katiba chanzo cha vurugu’
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...
10 years ago
Michuzi04 Sep
Naibu Mwanasheria Mkuu amewasilisha Mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwamba maombi hayo ni batili kisheria na hayawezi kuthibitishwa mahakamani, hivyo yatupiliwe mbali.
Masaju amewasilisha pingamizi hilo akitoa sababu nne, akiitaka mahakama kutupilia mbali maombi yaliyopo...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Othman atoa waraka muundo wa Bunge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eDyIvHOwXlynEeW7X75t0XekxXRb5TW0947Dp5W1FvqEwUhIOWLphpiGUGd*90yg*vdiV5YnV7VxLgyKUigi9*/juliasi.jpg?width=650)
KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
ADC: Muundo wa utawala utatukosesha Katiba
CHAMA cha Alliance For Democratic Change (ADC) kimesema msuguano wa muundo wa utawala unaondelea sasa unapaswa kumalizwa na wananchi kwa kura ya maoni. Aidha, kimesikitishwa na namna Bunge la Maalumu...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA