Mwenyekiti mbaroni kwa uchomaji nyumba
JESHI la Polisi wilayani Chato linamshikilia Mwenyekiti wa Kitongoji cha Elimu, Paschal Antony kwa mahojiano kwa tuhuma za kuchoma kaya saba na kuziteketeza kwa moto kwa imani za kishirikina. Baadhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mwenyekiti mbaroni kumtisha Naibu Waziri
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mwenyekiti wa kijiji Rorya mbaroni wizi wa ng’ombe
JESHI la Polisi Rorya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Sproza Charles, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe watatu wa ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s72-c/IMG_0030.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI BAA 10 ZILIZOINGIA FAINALI KATIKA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA MKOA WA MBEYA KWA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s1600/IMG_0030.jpg)
Shindano hili linalofanyika kila mwaka, linafanyika mwaka huu kwa mara ya saba mfululizo na litashirikisha mikoa ya Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar Es Salaam. Tangu lilipoanzishwa mwaka 2008, shindano hili limekuwa na mvuto wa kipekee kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ce8b39N3V5E/VNTe_He-w-I/AAAAAAAHCP4/6Kxvq2YDDo4/s72-c/unnameds1.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA KWA BAR MBALI MBALI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ce8b39N3V5E/VNTe_He-w-I/AAAAAAAHCP4/6Kxvq2YDDo4/s1600/unnameds1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VxjBrg-uuio/VNTe_DeU_QI/AAAAAAAHCP8/nj4gvbEU_uE/s1600/unnameds2.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Sep
Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai akutana na Mkuu wa Majeshi
10 years ago
Michuzi18 Sep
Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba Serikali ya Dubai afanya ziara nchini
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Facts Production kuuza filamu zake nyumba kwa nyumba
NA HERIETH FAUSTINE
KAMPUNI ya Facts Production inatarajia kuanza kusambaza filamu yake mpya ya ‘Niliyemchagua’ kwa mfumo wa nyumba kwa nyumba.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mohammed Kazi ‘Mudy Kazi’ alisema ameamua kufanya hivyo ili kutoa nafasi ya wasiopata muda wa kwenda kununua CD za filamu hiyo katika maduka makubwa waweze kununua wakiwa nyumbani kwao.
“Lakini pia tumeona ni vizuri kwa kuwa itasaidia kuwatambulisha wasanii wetu chipukizi ambao wana uwezo mkubwa kuliko wasanii wenye majina...