Mwigulu Awatimua Waliokula bil 5.7 Ujenzi wa Machinjio – Ruvu
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi akiwasili kwenye mradi uliodumaa wa Ujenzi wa machinjio ya kisasa wa ranchi ya Ruvu mapema hii leo. Sehemu ya jingo lililobaki kama Gofu mara baada ya kutelekezwa na Uongozi wa Bodi ya ranchi za Taifa(NARCO) Mwigulu Nchemba akishangaa namna mali hii ya Umma ilivyotekelezwa.
Mwigulu Nchemba akiendelea kupewa maelezo ya kina kuhusu ubadhilifu uliojitokeza kwenye ujenzi huu.Mh. Ridhiwani kikwete Mbunge wa Chalinze akitoa malalamiko yake kwa Waziri Mwigulu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi05 Jan
NEWS ALERT:MWIGULU NCHEMBA ATIMUA VIGOGO WALIOKULA BILION 5.7 ZA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA RUVU
Hii leo,Mh:Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi amefanya ziara ya siku moja kwenye ranchi ya Taifa ya Ruvu kukagua ujenzi wa majengo ya machinjio ya kisasa ulioanza mwaka 2010.
Katika hali ya kusikitisha na kulazimu kuchukua hatua za...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Mwigulu awatimua Kazi Viongozi Matapeli wa Vyama vya Tumbaku-Iringa
![Mwigulu (1)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-1.jpg)
![Mwigulu (2)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-2.jpg)
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
9 years ago
Michuzi02 Jan
NEWS ALERT: WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ATUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI USIKU, AKUTANA NA MADUDU YA KUTAFUNA KODI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SZmMgbGGCdnbdXUb7_A68fMgirLeyFKS7ydzO-ofiDI6V7LMmZ1n9Orfrb9i8vCO1S4Esi1ANyRuGN7FPXaJecRqEwcKL-6cniTfMVNt9ZHK7ivdQ800HbEH05Lfv1-Cyi9_lvn07uMVnO4Q6MrNek4V7Kc-88eqvaH3JxOrSSXcJWyW8EhQVIxZnp821igxHAa8XOuoj_cqYS-LAegQ-1ew8tRM_meUsh3-KHmP8ZqgUE-YzQaeXoUQSP3eutTi7xP0Vl0Gsm5bH1_Vf0xXMYTmbb245TX5z3KGM7Fg8LJupdZXNdRMmnM_R5U=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1558428_929149373805554_7019256894256114543_n.jpg?oh=3ec65d2ef8e8cfde61aad22857c00002&oe=571FDD88&__gda__=1460251126_603450f489eecfccd253da3f09b556be)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Nd1BUCRW6L5AZkPYpK5sGYX7PCFZcfIt32NV1o-_ryDPszuhgxUWeGwE3QpQE0xi_1EzdxKA6LjArA4Wom24CmqXhy0-qb0kn3KwTHj_N1oNb5GsAGyf4L_MLxKEcWw2wredu39OW7bnAeJD_sZ7JtH5e3GEJK_Ra_Zl7cp8ANZCq2CZTsafD8raZu75iP9d-gfcIZc1SlcwjS23b8ADCKxzhuTIfcyMn-bVlNRz_XQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1682_929149433805548_7776065019326928329_n.jpg?oh=f43ed48fab9e610d47862439d48086a6&oe=5710CC17)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zkmX-uRzvzr3gr_zLgxWAPUK3MR4lrWL7gdG3hHJHuHkRxXI6F2RRJFY71wN87KqaiJU6cAYt0KtOVr5aO9Sq4-pi3sNn9l4oEZWV7vGtHft88zZb6xpttk1QWPXIorMqHga-dWk8IzIj00VNalQxE7rbI6b2mNWGxVHCM_NJCjJeDOoJFxikDvDkAgNHE1UKbZ-vPSMw3O7VcGaagBYmCS62MFfN9F3RWRrDTHhmdj76plPFQcn1KTSlkMJsRWFY0Tox-QyVIfWElvjHqLn9sWEoafMZGDAlWrsunlj9ShzTnEAxTwaVh47f8BA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10336793_929149423805549_5813147724928826829_n.jpg?oh=436295092f07e56de6219cf700c6c712&oe=570E515F&__gda__=1459366249_c32f748b7086d65489017bfe9e7ee2b9)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/CuFOg7SVdcYaztuy01sCijaKiNejXF7Q5qKTCIxHbosO0ZbEh5jfAVsdjJq7dzNgjbigu9XHF8xoO_RLvMohEXvf_gl13zOB8y_li4gtZ2ZisqKKQZYlSoH0a9zGPZjO7GxGgYMwdLZvKW8UaHmMe5EVV9ySylCIua2J5ZDlrBLkH--UWOJsjCQBmq9cZVbhSlFqoKoP8m6LcxWM4nKgIac9l_-tovi_pHERRaVXR0Xsf11HpFA0160-29phgi5XkCdOmRp4Xa6TSKWWuEEAhnRgOuefngFhJ39hGj7aiBCMzTZOUdOh3hLBCXd0=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10348287_929149357138889_3144989189231161392_n.jpg?oh=62ff62f9290ff9d8eba6f9d9891018e6&oe=5714C133&__gda__=1461687738_f782e3d112f0195934799d079d727202)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9NuKazt21dX61NrunYjuUN76JnOSL1iOBaRNWafnLQQTyXGBZa1uQeqBhlYOrqngpgJy2FiYmc1CLPvTUI89DotmjCHMa3cHwXHZ16M2jITYdplXsgd0V0Z6wcRB7iUebGe1VnBLnuO6xGnupnyZf_NyfcVgWCkmRYQG0pe3mUztQjyd2P59VNE7Dp4bqFsl6xze0hSzJLygEGLUSYW2rbQYUWlIQGMCZA-jJtdRsq9MbVFB53SVxdU8Atgc_UeuQ46s_5jz57eAInp9Ex7_L6QK4IX4IY43IVFX3pXmRl1eQd63o5IeFdCIwPw=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1654063_929149367138888_8865657160090386502_n.jpg?oh=364ef29707cbbcc722f6dd1831f7f32b&oe=5700A58A&__gda__=1459716084_2d4c78a091bc2d39a301ebe5a475a849)
9 years ago
Michuzi02 Jan
TIMUATIMUA YATUA MNADA WA PUGU, MWIGULU ASHIRIKIANA NA MAWAZIRI WAWILI KUTATUA KERO MACHINJIO YA PUGU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KtjKWkmHYVY/XslWILhNkvI/AAAAAAALrYM/VYxC6EADc-0513_oRnEnQqkHsW6hpdy-QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-2AAA-1-768x407.jpg)
KAMATI YA ALAT PWANI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA KIBAHA MJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KtjKWkmHYVY/XslWILhNkvI/AAAAAAALrYM/VYxC6EADc-0513_oRnEnQqkHsW6hpdy-QCLcBGAsYHQ/s640/1-2AAA-1-768x407.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-1AAA-1-1024x768.jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakiwa katika kiwanda cha viuwadudu vya mbu walipofanya ziara katika halmashauri ya mji Kibaha kwa ajili ya kutembnelea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s72-c/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s1600/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p8dCG6fLPFs/Xu0TtfTjqVI/AAAAAAALusU/r0YxHdxoopU314_U5ygwDcadMDiJ89jLQCLcBGAsYHQ/s72-c/R-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MHAGAMA ATOA MAAGIZO UJENZI WA MRADI KIWANDA CHA MACHINJIO YA KISASA WA NGURU KUKAMILIKA KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p8dCG6fLPFs/Xu0TtfTjqVI/AAAAAAALusU/r0YxHdxoopU314_U5ygwDcadMDiJ89jLQCLcBGAsYHQ/s640/R-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/R-2AAA-1024x682.jpg)
Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ujenzi bomba jipya Ruvu Chini mbioni kukamilika
UJENZI wa bomba jipya kutoka mtambo wa Ruvu Chini kwenda matenki yaliyoko Chuo cha Ardhi, Dar es Salaam unakaribia kukamilika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...