Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIGULU NCHEMBA ALIPOWASILI HAIDOM HII LEO KUZUNGUMZA NA WATANZANIA


Naibu katibu Mkuu alipowasili Haidom hii leo kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali za MitaaMwigulu Nchemba akihutubia wananchi wa HAIDOM mkoani Manyara hi leo.Mwigulu Nchemba akiwasisitiza Wananchi kuwa Uchaguzi wa serikali za Mitaa sio Mashindano ya Vyama.NI uchaguzi wa kuchukua hatua za Mbadiriko kwa Vitendo kwa kuwaondoa wale wasio faa na kusimamisha wagombe wenye tija kwa Wananchi wa Tanzania.Na wagombe hao ni wale wanaotokana na chama cha Mapinduzi.Mamia ya Wananchi wakisikiliza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HISIA ZA WANANCHI WA BABATI MJINI KWA COMRADE MWIGULU NCHEMBA ALIPOWASILI HII LEO KUONGEA NAO

Mh:mwigulu Nchemba
akipokelewa Babati Mjini.Wananchi wakisalimiana na Comrade mwigulu Nchemba Mapokezi yanaendelea Babati mjiniHisia za Wananchi wa Babati Mjini kwa Mwigulu Nchemba.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA,MWIGULU ALIPOWASILI HII LEO UKEREWE MAPEMA ASUBUHI


Mwigulu Nchemba akiwasili Ukerewe hii
leo mapema asubuhi.Comrade Mwigulu Nchemba akiwaombea kura wogembea wote wa CCM-Ukerewe,Kubwa ni kwamba CCM ndio chama chenye Ilani inayotekelezwa hadi sasa,Na Ilani hiyo kwa asilimia kubwa imetekelezwa Nchi nzima,Hivyo wananchi waendelee kukiunga mkono.Mwigulu Nchemba akiagana na Wakazi wa Ukerewe mapema hii leo asubuhi mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Kufunga kampeni za Uchaguzi wa serikali za Mitaa.Mmoja wa Viongozi wa Kidini...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ALIVYOWALIZA ACT WILAYA YA BUSEGA HII LEO


Naibu katibu Mkuu akisalimiana na watoto waliofika Kumpokea Kijiji cha Nyamikoma-Busega.Comrade Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa kijiji cha nyamikoma-Busega hii leo.Mwenyekiti wa Mkoa wa SIMIYU wa CCM akiwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT wilaya ya Busega.Mwigulu Nchemba akipokea kadi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha ACT Wilaya ya Busega ambaye ameamua kuhamia CCM kwa hiari yake.Wakati huu tunapoelekea kuwa Nchi ya Kipato cha kati "Kupanga ni Kuchagua,tuanze sasa kuchagua...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MWIGULU NCHEMBA LIVE STAR TV HII LEO TAR.06.12.2014

Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara,Comrade Mwigulu Nchemba.Hii leo ataunguruma Geita Mjini katika Mkutano wa hadhara atakapo zungumza na Watanzania moja kwa moja Kupitia Star Tv Majira ya Saa 9:00 Alasiri hii leo.
Watanzania wote karibuni mfatilie Matangazo haya ya Moja kwa Moja.

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOTUA MBULU HII LEO,NI OPARESHENI "UMOJA NI USHINDI"


Mwigulu akisisitiza jambo kuhusu hujuma dhidi ya Dawa za Hospitali za Serikali zinavyotafunwa na Wachache ili hali wananchi wanahali ngumu.Mwigulu Nchemba akizungumza na Umati wa wakazi wa Mbulu waliofika Mchana waleo kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Mpira mbulu kusikiliza sera za Chama cha Mapinduzi kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa.CCM Oyeeeeeeeeeee!!!!Mh:Mwigulu nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mbulu Mjini hii leo alipokutana nao kwenye Mkutano wa hadhara wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ALIPOPITA HII LEO ITILIMA MKOANI SIMIYU KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM


Mh:Mwigulu Nchemba akichambua kuhusu swala la Uadilifu wa Viongozi na Watumishi wa serikali,Kuna watumishi wa serikali ambao hawana Vyama au sio wanaCCM lakini Wanaiba Serikalini  na dhambi hiyo inakwenda CCM.Hivyo ni muda muafaka wa Kutenganisha Wezi,mafisadi na CCM.Comrade Mwigulu Nchemba akinadi na kuwaombea kura wagombea wa ngazi zote wa CCM kata ya itilima mkoani Simiyu.Comrade Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa Itilima hii leo.Mwigulu Nchemba akiwaeleza wanaitilima Mkoani...

 

9 years ago

Vijimambo

SPEED YA MWIGULU NCHEMBA KUSAKA KURA ZA URAIS ZA MAGAFULI YAONGEZEKA,APIGA MAJIMBO 6 HII LEO KANDA YA ZIWA

Mwigulu Nchemba Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Busega Dr.Chegeni mapema hii leo.Mwigulu Nchemba Jimbo la Busega kwa Dr.Chegeni akisisitiza Wananchi kwenda kupiga kura kwa wingi,Hakuna namna CCM itashinda kwa kishindo kama wananchi hawajitokezi kupiga kura,Kura ni kwaajili ya maamuzi makubwa ya Taifa lako.Wananchi wa Sumve wakionesha Umoja wao kwenye zoezi la kwenda Kuichagua CCM kwa nafasi zote.Mwigulu Nchemba akimnadi Mbunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwigulu Nchemba: Nitawavusha Watanzania

Dodoma/Dar. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametangaza nia yake ya kugombea urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba akieleza jinsi atakavyoivusha Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati utakaopatikana kwa kutoa haki kwa watu wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani