MWILI WA MAREHEMU EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA KUAGWA LEO KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s72-c/20150602051217.jpg)
Marehemu EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA
TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu unaagwa leo tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake Ukonga, Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi01 May
PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8307AA-1024x682.jpg)
Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu Augustino Ramadhani, Saada Ramadhani (katikati) ambaye ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa Mazishi ya Kitaifa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8341AA-1024x682.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Jun
MWILI WA MHE. EUGEN MWAIPOSA ALIYEKUWA MBUNGE WA UKONGA WAAGWA MJINI DODOMA
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/64.jpg)
![12](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/121.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/43.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uV_NuY4b3Ow/VXHi17BYofI/AAAAAAAHcXg/dVkiymoxhdk/s72-c/20150605103205.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Jun
Kutoka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa Bunge Azan Zungu Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha makadirio ya Matumizi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uV_NuY4b3Ow/VXHi17BYofI/AAAAAAAHcXg/dVkiymoxhdk/s72-c/20150605103205.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
11 years ago
GPL![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Ro4-k1tNmdjjr20RMjc0MGp-sRrx9XKMbJI7mwICjwPIAirNHhm2Up62qJMob0-SxAK4frKzHiexELchfI65V1yBtykOey6qYkjBJSxGV77OuosWhV1GRmU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/ameir.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI TOKA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI