Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwl.Mwakasege kumwaga Zege Kesho Jumamosi


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Fellowship na Mwl.Mwakasege NC

Fellowship with Mwl. Mwakasege in NC ! Tunapenda kuwakaribisha kwenye fellowship ambapo Mwl Christopher na Diana Mwakasege watazumgumza . Muda: 4pm. Mahali: Millenium Hotel  2800 Campus Walk Avenue  Durham NC 27705.  Wote Mnakaribishwa !!          

 

10 years ago

Vijimambo

Gospel Seminar with Mwl. Mwakasege

On behalf of Mana Ministries (USA), the DMV organizing committee would like to invite you, your family members and your friends to a Gospel Seminar which will take place from 29th May to 31st May 2015. The guest speaker will be Mwl. Christopher Mwakasege from Mana Ministries Tanzania.

Seminar time: Friday 29th May 17.00hrs to 22.00hrs
Saturday 30th May 08.00hrs to 22.00hrs
Sunday 31st May 08.00hrs to 15.00hrs

Venue

National 4-H...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28

Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm Chirstopher Mzazi katikaki akiwainua juu mabondia Julius Kisalawe kushoto na Said Uwezo kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumamosi ya march 28 utakaofanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab...

 

10 years ago

Vijimambo

MANA CONFERENCE THIS WEEKEND: MWALIMU MWAKASEGE NA DIANA MWAKASEGE WATAKUA DMV


Friday 6pm to 10pmSaturday 8am to 10pm Sunday 8am to 1pm
Please call the number on the flier for more information 

 

10 years ago

Michuzi

NANI KUJINYAKULIA TUZO ZA FILAMU 2015 KESHO JUMAMOSI!

Raisi wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(katikati) akielezea jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati alipokutana nao katika ofisi zake kuelezea siku ya tuzo za filamu zitakazofanyika jumamosi hii jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Bwana Ezekiel kutoka Push Mobile na kushoto kwake ni Meneja Masoko wa EATV na EAR Happy Shame. Meneja Masoko kutoka EATV na EA Radio Happy Shame(kulia)akielezea jambo kwa Raisi wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba wakati wa...

 

9 years ago

Michuzi

MABONDIA HAMISI MWAKINYO NA MESHACK MWANKEMWA KUPIGANA KESHO JUMAMOSI

Bondia Hamisi Mwakinyo kushoto akitunishiana misuli na Meshach Mwankemwa baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na  Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBC  katikati ni promomota kutoka katika kampuni ya Golden boy Afrika Shomari Kimbau Picha na SUPER D BOXING NESW.Promota Shomari Kimbau akiwainua mikono juu mabondia Asha Nzowa kushoto na Joyce Awino baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


 Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

malenjendari wa disco waalikwa rasmi isumba lounge kesho jumamosi

Tukiwa tumebakiza siku moja tu kabla ya THE LEGENDS 2ND ANNIVERSARY kesho Jumamosi 1/11 ndani ya Isumba Lounge jijini Dar es salam; mimi  John Dillinga na mwenzangu DJ Fast Eddie tunapenda kutoa heshima kubwa na mwaliko rasmi kwa malejendari hawa pamoja na patners wao hiyo kesho. Kama unamfahamu au uko karibu na yeyote kati ya hawa naomba nisaidie kufikishia taarifa: John Peter Pantalakis, Ommy jr, DJ Seydou, DJ Paul master G, DJ Sweet Francis, DJ Gerry kotto, DJ Neagre Jay a.k.a Masoud...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani