MZEE YUSUF AFUNIKA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Mfalme Mzee Yusuf akiimba na mashabiki wimbo wake mpya wa Mahaba Niue. Mzee Yusuf akiwapagawisha mashabiki kwa wimbo wa My Valentine.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lQ0QUhfJdPH6QBljTDHBJtSaGAuQ3m4PVEZrfqVYW5QuTvp*lWbBMVsQAb3xowC7NGOG06lKb*gKEr9FtBzp*jWBWGnZlBus/wakali2.jpg?width=750)
10 years ago
GPL03 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dY1noMbzWX1jTw-lAlFGXbzh8A-UZKmPJY-qTGf0qUvNWFCTzn-U9Vg1vFV2jZHFq1wfqhFUgS2BTEUaSi9N8za/leo.jpg?width=650)
VALENTINE'S DAY: HAPATOSHI DAR LIVE LEO
Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf leo atakuwa ndani ya Dar Live kuwapa raha wapendanao. WAPENDANAO KUJIACHIA NA MZEE YUSUF HAKUNA haja ya kuhangaika leo katika sikukuu ya wapendanao, kiwanja ni kimoja tu, Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf atashusha shoo maalum kwa wapendanao katika ukumbi huo, hivyo burudani itachukua mkondo wake pamoja
na zawadi kibao...
11 years ago
GPL10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Christian Bella akiimba na mashabiki wimbo wa Usilie. Bella akiwakonga mashabiki jukwaani.…
10 years ago
GPL10 Feb
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Diamond na Mzee Yusuf kuumana Dar Live
 Wapenzi wa burudani ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf watapanda jukwaa moja katika ‘Tamasha Wafalme’ litakalofanyika katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala.
10 years ago
GPLMZEE YUSUF KUACHIA MPYA DAR LIVE
Mfalme wa muziki wa taarab Mzee Yusuf. MFALME Mzee Yusuf amerudi tena ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar ambapo Aprili 25, mwaka huu anatarajia kuachia ngoma mpya. Akizungumza na Over The Weekend, Mzee Yusuf anayebamba kunako miondoko ya Taarab alisema kuwa anawashukuru mashabiki kwa kuweza kumudu kwenye muziki kwa muda mrefu na zawadi kubwa atakayoitoa siku hiyo ni wimbo mpya uitwao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania