Mzimu wa Zitto wamfikisha katibu wa Chadema, CCM
MZIMU wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe umeelezwa kumkimbiza hadi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Katibu wa Chadema jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Zitto: Uadilifu ni mzimu unaowatafuna viongozi
10 years ago
Vijimambo11 Dec
KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/1544361_320647358137499_7899191970950634860_n.jpg?oh=099cd6be63e72fd94023f41af3aaa85f&oe=55094ADD&__gda__=1426427540_4bb982032bbe6dc364f0a420f00648c6)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10407834_320663834802518_6166510504085799717_n.jpg?oh=540f1462b180e2bf7d4b3bdc11def3c4&oe=55046DB2&__gda__=1426915843_437e32cb5f7fe5bd39ea15a80c4db24b)
Mkutano Karatu Mjini.
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/1505541_320646974804204_8373553399396600418_n.jpg?oh=68e48201ce1112e30f837896a9380d5a&oe=550051FE)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10689476_320664064802495_1579968799082168238_n.jpg?oh=29992f1d4a13a823bdd09a21c00bc39f&oe=5541785F)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10349088_320665871468981_3996669904898408057_n.jpg?oh=05a9a7d9d7d28621eb6484861b1d7293&oe=54F95FE8&__gda__=1427137332_6504e5aee04921ee06426fff1fe9824b)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10421115_320664434802458_5417098475216331993_n.jpg?oh=1db1b79511655c13f9631f5dff51d033&oe=55424B51&__gda__=1426370875_d875731b4a1306575a51a5d5a62cb622)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Katibu Chadema jimbo la Masasi ahamia CCM
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jimbo la Masasi, Faraji Mangochi amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akihusika kwa nguvu katika kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo.
5 years ago
CCM BlogCCM IMEFIKA MAHAKAMANI KUMLIPIA DENI ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA
Akizungumza katika viwanja vya mahakama akiwa ameambatana na wanachama wengine wa chama hicho pamoja na mke wa mfungwa huyo , Polepole amesema amefika kufuata utaratibu ili wamtoe Mashinji.
"Tunaishukuru CCM Mkoa wa Dar es Salaam, wametusaidia tangu jana mpaka saa 4:00...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Msaidizi wa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara ajiunga Chadema
Bw. Jumanne Juma Msunga.
Na Hillary Shoo, SINGIDA
MSAIDIZI wa Naibu Katibu Mkuu wa (CCM) Bara, Jumanne Juma Msunga ametangaza rasmi kuhama CCM na kujiunga na CHADEMA, kwa madai kuwa CCM ni chama cha kudhulumu haki za wanachama wake.
Akitangaza uamuzi wake huo jana mbele ya waandishi wa habari kwenye ofisi za CHADEMA Mkoani Singida, Msunga alisema ameamua kujinga na CHADEMA,huku akidai kuwa CCM haikutenda haki katika mchakato mzima wa kumpata Mgombea wa nafasi ya Urais.
Alisema CCM haina...
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi...
11 years ago
Michuzi26 Apr
Katibu wa CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje , Ahamia CCM
Hatua ya Ngwalanje kujitoa Chadema na kujiunga na CCM imeelezwa na baadhi ya wafuasi wa Chadema kuwa ni pigo kubwa kwa chama hicho.
Akizungumzia kujitoa kwa Ngwalanje, mwanachama wa Chadema Michael Ngimbusi alisema; “Ngwalanje alikuwa nguzo kuu ya Chadema wilayani Mufindi, aliogopwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r8FmsELRVAg/Xkvf2Q89LzI/AAAAAAALd4o/yg56ItPY5W4AM7_lC8Ot9pfY2ygPdVuJwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...