Mzungu Kichaa aachia single mpya “Together As One” ft Juma Nature and Karen Mukupa
TOGETHER AS ONE – UMOJA NI NGUVU
Mzungu Kichaa atoa single yake ya pili kutoka kwenye CD yake mpya iitwayo RELAX. Katika wimbo huu amemshirikisha Juma Nature na Karen Mukupa. Mzungu Kichaa alikuwa na haya ya kusema kuhusu wimbo wake mpya.
“Juma Nature ndiye aliyenipa jina langu la kisanii nilivyokuwa nikifanya featuring kwenye nyimbo kadhaa za Bongo Flava mwaka 1999 na 2000. Pia niliweka vocals pamoja na TID kwenye wimbo wa Nature uitwao Hili Game. Kwahiyo nina furaha kubwa kupata fursa ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mzungu Kichaa na Rico Single kuwachizisha wazanzibar tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akiwatambulisha wasanii watakaotumbuiza usiku wa leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 ndani ya viunga vya Mambo Club – Ngome Kongwe visiwani Zanzibar wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Katikati ni msanii wa muziki nchini almaarufu kama Mzungu Kichaa na Kulia ni Msanii Grace Matata.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Mzungu Kichaa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Doubletree by...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00871.jpg)
MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWACHIZISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU WA LEO
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Uzinduzi wa video mpya ya Mzungu Kichaa FT Malfred — “Twajiachia” kufanyika klabu Paparazzi, Slipway Jumatano hii
LAUNCH PARTY: WEDNESDAY 17 JUNE 2015 / DOORS OPEN 20:00 HRS PAPARAZZI CLUB SLIPWAY / SPECIAL MEDIA EVENT AT19:00 HRS INVITE ONLY
Twajiachia ni video ya muziki wa Mzungu Kichaa & Malfred ambayo inaadhimisha safari ya wanamuziki wa Tanzania katika nyanja ya muziki wa kimataifa.
Ilirikodiwa kwenye studio ya “Tao Records” kwa kushirikiana na bendi ya Bongo Beat na mzalishaji/producer Flo Bauer wakati wa ziara yao ya Ulaya mwishoni mwa mwaka 2014. Video iliongozwa na Zeki Oguz Teoman ndani ya...
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
9 years ago
Bongo523 Oct
Video: Adele aachia single mpya ‘Hello’ na tracklist ya album yake ijayo ‘25’
10 years ago
Bongo523 Aug
New Song: Chris Brown aachia single mpya inayobeba jina la album yake ‘X’
11 years ago
Michuzi12 Apr