Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NABAKI AFRIKA MABINGWA VIFAA VYA UJENZI

20140806_050949Meneja wa kampuni ya Nabaki Afrika tawi la Arusha Jesse S. Madauda akiongea na wateja waliotembelea katika  banda lao viwanja vya nane nane jijini Arusha.20140806_051639Hii ni Plumbing System ni kwaajili ya mfumo wa maji taka na safi na sifa yake kuu nikwamba huwezi kuona chemba zile za nje na haizibi20140806_050615Vigae vya kuezeka (Decra Roofing Tiles )sifa yake kuu ni havipauki ,havipati kutu na havipukutiki na guarantee yake miaka 50
Kampuni ya Nabaki Afrika ni kampuni pekee isiyo na mshindani katika ubora wa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Bw. Alphonso Rodrudges(suti ya bluu) akikabidhi mfano wa hundi yenye kiasi cha Tsh. Millioni Miamoja kwa Uongozi wa Jeshi la Magereza zitakazotumika katika ujenzi wa nyumba zenye hadhi kwa Maofisa na Askari wa Gereza Wazo,Wilayani Kinondoni (wa pili kulia) ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Mbarak Abdulawakil(wa tatu kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja. hafla hiyo imefanyika leo Novemba 17, 2014...

 

10 years ago

Vijimambo

TWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR ES SALAAM

  Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Bw. Alphonso Rodrudges(suti ya bluu) akikabidhi mfano wa hundi yenye kiasi cha Tsh. Millioni Miamoja kwa Uongozi wa Jeshi la Magereza zitakazotumika katika ujenzi wa nyumba zenye hadhi kwa Maofisa na Askari wa Gereza Wazo,Wilayani Kinondoni (wa pili kulia) ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Mbarak Abdulawakil(wa tatu kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja. hafla hiyo imefanyika leo Novemba 17, 2014...

 

5 years ago

Michuzi

ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(katikati) akizungumza na waandishi wa habri leo wakati wa kupokea vifaa vya ujenzi kwa ajili ya Wilayaya Uyui na Tabora kutoka Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) vyenye thamani ya shilingi milioni 23.9.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Kodi vifaa vya ujenzi ipunguzwe’

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah amesema watapambana kuhakikisha kodi katika vifaa vya ujenzi inapunguzwa ili kila mwananchi aweze kumiliki nyumba bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHC na changamoto ya vifaa vya ujenzi

MAHITAJI makuu ya mwanadamu ni kupata makazi, lishe bora na uhakika wa huduma za afya. Kinapokosekana kimoja kati ya hayo, ufanisi wa kufanya kazi na kujiletea maendeleo unapungua na kumfanya...

 

10 years ago

Michuzi

Ofa Kabambe from Nabaki Afrika


We are moving into the busy season of the construction industry and we are fully stocked with our quality products. Special deals are available on some premium products.
Decra stone coated metal roof tiles start at a price of TZS 16 450 per tile for the Smooth profile. Fortiza roof tiles start at TZS 14 950 per tile.
Remember that on some roof tile sales you can get a free Ariston water heater, just ask our sales people for details. Until the end of the year we are offering an extra 5%...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabwepande kukabidhiwa vifaa vyao vya ujenzi

>Halmshauri ya Wilaya ya Kinondoni imekubali  kuwakabidhi wakazi wa Mabwepande vifaa vya ujenzi walivyoahidiwa na Rais Jakaya Kikwete kwa masharti maalumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ishushe bei vifaa vya ujenzi’

MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kushusha bei ya vifaa vya ujenzi ili wananchi waishio vijijini waweze kufaidika na huduma ya umeme. Kauli hiyo aliitoa jana bungeni...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwinyi azindua kampuni ya vifaa vya ujenzi, kilimo

Rais Mstaafu  wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi amezindua kampuni kubwa ya China ya kuuza vifaa vya kilimo na ujenzi, ambapo ameeleza ni hatua kubwa katika safari ya maendeleo inayoshika kasi nchini. Kampuni hiyo ya Avic-Shantui Tanzania Ltd, inatengeneza magari  ya ujenzi yakiwamo matingatinga, makatapila ya kushindilia na kusawazisha udongo na gari maalum la kuchanganya zege.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani