Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nafasi ya viti maalumu kaa la moto Shinyanga

Mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba.JOTO la uchaguzi mkuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Shinyanga, linazidi kushika kasi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga, Lucy Mayenga juzi kumtoa nje ya ukumbi mmoja wa waliotangaza nia wa nafasi anayotarajia kuitetea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Escrow kaa la moto



NA THEODOS MGOMBA, DODOMA KASHFA ya madai ya kuchotwa mabilioni ya shilingi kwenye akaunti ya ESCROW, imezidi kuwa moto kutokana na kuibua mjadala mkali bungeni kila kukicha. Tayari serikali iliagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo malipo hayo kwa Kampuni ya PAP, iliyonunua IPTL, yalifanyika kihalali, ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imepewa jukumu hilo. Hata hivyo, habari za kuaminika...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Felister Bura amependekeza Katiba inayotungwa ifute Ubunge wa Viti Maalumu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge viti maalumu badilikeni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mgawanyo wa idadi ya wabunge wa viti maalumu kwa vyama vya CCM ambacho kimepata viti 64, kikifuatiwa na Chadema chenye viti 36 na CUF viti 10.

 

10 years ago

Mtanzania

Posho za Bunge kaa la moto

Bunge

Bunge

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za wajumbe wa Bunge hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkurugenzi wa Habari na Itifaki wa Bunge Maalumu, Jossey Mwakasiyuka, alisema ofisi ya Bunge hilo imekerwa na baadhi ya vyombo vya habari kuchapisha taarifa hizo.

Alisema taarifa hizo ni za upotoshaji na zina lengo la kuwadhalilisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Simba kaa la moto

>Wakati mkutano wa mabadiliko ya Katiba ya Simba umepangwa kufanyika Machi 16 suala kubwa linalowapasua vichwa wanachama ni kipengele cha kutaka mtu aliyefungwa asiruhusiwe kugombea nyadhifa ndani ya klabu hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti kaa la moto bungeni

KAMATI ya Kudumu ya Bajeti imeonesha wasiwasi kuhusu ongezeko la haraka la deni la taifa na kusema hali hiyo inatishia ukuaji endelevu wa uchumi. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Andrew Chenge aliliambia Bunge jana, ongezeko la ghafla la deni la taifa kutoka Sh trilioni 23.67 Machi mwaka jana, hadi Sh trilioni 30.56 Machi, mwaka huu, linadhihirisha wasiwasi wa matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Fedha za IPTL kaa la moto

>Tuhuma za ufisadi wa zaidi ya Sh200 bilioni katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonekana kuwa kaa la moto na jana zilitikisa Bunge na kuibua mvutano mkali.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Ubunge Arusha kaa la moto

HARAKATI za uchaguzi zimeanza rasmi katika Jimbo la Arusha Mjini baada ya vyama vikubwa viwili vyenye ushindani; Chama Cha Mapinduzi ( CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua rasmi kampeni zao mwishoni mwa wiki.

Katika uzinduzi wa kampeni hizo, kwa mara nyingine wapiga kura walishuhudia ahadi lukuki zikitolewa na wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani wa vyama vyote viwili ambazo zimekuwa zikitekelezwa nusu nusu au zisitekelezwe kabisa.

Hata hivyo, ushindani wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho kaa la moto bungeni

KINARA wa kudai nyongeza za posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa, jana aliwashambulia waandishi wa habari kwa kuandika habari zinazowagombanisha na wananchi.  Alisema vyombo hivyo vinalitumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani