Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nahodha jela kwa ajali ya Ferry Korea

Nahodha wa kivuko cha Korea Kusini ambacho kilizama mwezi Aprili 2014 amepatikana na hatia ya uzembe wa kupindukia na kufungwa miaka 36 jela.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa kampuni ya ferry Korea jela

Mahakama imemhukumu miaka 10 gerezani mkurugenzi mkuu wa kampuni iliyoitengeza feri ya Sewol iliyozama mwezi Aprili na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300, wengi wao wakiwa ni watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmiliki na nahodha wa ferry mahakamani

Polisi nchini Ufilipino wamewafungulia mashtaka mmiliki na nahodha wa ferry ambayo ilizama na kuwaua zaidi ya watu 50.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferry yazama Korea

Ferry moja yazama ikiwa na abiria 467 Korea Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Nahodha, baharia 3 washtakiwa kuua Korea

Nahodha na wafanyakazi wengine watatu wa feri iliyozama Korea Kusini mwezi uliopita wameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha,Costa Concordia afungwa jela

Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali ya Kivuko Korea Kusini: Inatukumbusha Mv Bukoba, MV Skagit

>Kutokana na uchungu alionao, haisikii mvua kubwa inayomnyeshea na upepo mkali unaoupiga mwili wake. Christine Kim amesimama ufukweni mwa bahari kwa zaidi ya saa tisa huku machozi yakimtiririka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyesababisha ajali ya Mbowe jela miezi 18

MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita mkoani Geita imemhukumu Sayi Kahindi (35) kifungo cha miezi 18 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kusababisha ajali ya gari alilokuwemo Mbunge wa Hai, Freeman...

 

11 years ago

Mwananchi

Nahodha: Sitavunjika moyo kwa yaliyonikuta

Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha amesema licha ya kuvuliwa uwaziri ataendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama chake na wananchi bila ya kuvunjika moyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani