Mkuu wa kampuni ya ferry Korea jela
Mahakama imemhukumu miaka 10 gerezani mkurugenzi mkuu wa kampuni iliyoitengeza feri ya Sewol iliyozama mwezi Aprili na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300, wengi wao wakiwa ni watoto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Nahodha jela kwa ajali ya Ferry Korea
Nahodha wa kivuko cha Korea Kusini ambacho kilizama mwezi Aprili 2014 amepatikana na hatia ya uzembe wa kupindukia na kufungwa miaka 36 jela.
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Mtwara’s Msanga Mkuu ferry grounded
MV Mafanikio, a ferry bought by the government to serve residents of Mtwara municipal who cross to Msangamkuu, has been grounded, only two months after it was commissioned.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mkuu wa UN kuzuru Korea Kaskazini
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon atazuru Korea Kaskazini wiki hii, kwa mujibu wa shirika la habari la Korea Kusini Yonhap.
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu
Waziri mkuu nchini Korea Kusini amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia swala lote la ferry iliozama.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZjzpdI9mqFehhWPSO1co617vdlWhgRX0RURQMP98xarRokNWbS0OhmuLX-YFbgruSg98CAtHFq2LXIclW4ebqW/southkoreaseeksarrestofsewolferrycaptain.jpg)
KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU
Feri ya Sewol ilipokuwa ikizama. Waziri Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won aliyejiuzulu.
WAZIRI Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia suala la feri iliyozama siku 11 zilizopita. Chung Hong Won amesema kuwa kubaki ofisini ni mzigo…
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania