Naibu Waziri wa Uchukuzi ATEMBELEA Wakala wa NDege za Serikali
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgqUI_H51I8/U8ZOFYThh8I/AAAAAAAF2q0/8BBjXtbyj6s/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba, akifafanua jambo wakati akiongea na Menejimenti na wafanyakazi wa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (Tgfa), alipokutana nao hivi karibuni. Naibu Waziri Tizeba aliwapongeza wafanyakazi hao kwa kazi nzuri wanayoifanya kwa kuwahudumia vyema Viongozi mbalimbali wa Kitaifa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rAupSsfPB84/U8ZOEz3AWwI/AAAAAAAF2q4/7jE9yYDMv58/s1600/unnamed+(7).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Naibu Waziri wa Uchukuzi Dk. Charles Tizeba aongea na Wafanyakazi wa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA)
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba, akifafanua jambo wakati akiongea na Menejimenti na wafanyakazi wa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (Tgfa), alipokutana nao hivi karibuni. Naibu Waziri Tizeba aliwapongeza wafanyakazi hao kwa kazi nzuri wanayoifanya kwa kuwahudumia vyema Viongozi mbalimbali wa Kitaifa.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi).
Mkurugenzi wa Idara ya Uhandisi katika Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA), Mhandisi Julius Shaba,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r4VzSBX8LM8/U8QECun5tZI/AAAAAAAF2J4/PRcsgcXa6pE/s72-c/unnamed+(65).jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi atembelea Shirka la Ndege Tanzania (ATCL)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r4VzSBX8LM8/U8QECun5tZI/AAAAAAAF2J4/PRcsgcXa6pE/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHXI4mrizaQ/U8QEFoM5qdI/AAAAAAAF2KA/pBcOnhIc9rI/s1600/unnamed+(64).jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATEMBELEA OFISI ZA ILIYOKUWA WIZARA YA UCHUKUZI NA KUONGEA NA MENEJIMENTI NA WAKUU WA TAASISI LEO ASUBUHI
11 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Uchukuzi atemebelea chuo cha bahari dar es Salaam (DMI)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano atoa mwelekeo wa utendaji kazi wa wizara
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zake kuhusu ufanyaji kazi kwa uadilifu kwa kuzingatia maslahi ya jamii.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akisalimiana na baadhi ya watendaji wa Wizara ya iliyokuwa ya Uchukuzi wakati alipotembelea Wizara hiyo ambayo sasa imeunganishwa na Ujenzi na Mawasiliano.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AFANYA ZIARA OFISI YA BODI YA MFUKO WA BARABARA
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (WATU WENYE ULEMAVU) ATEMBELEA KITUO CHA NUNGE, KIGAMBONI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s72-c/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
MKUCHIKA AZINDUA BODI YA USHAURI YA WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI NA KUITAKA IHAKIKISHE ATCL INAKUWA IMARA KIUSHINDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s640/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Wakala ya Ndege za Serikali (hawapo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi hiyo mapema leo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f42f074f-4a99-4b76-bfcb-84f9509cdb14.jpg)