Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano atoa mwelekeo wa utendaji kazi wa wizara
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zake kuhusu ufanyaji kazi kwa uadilifu kwa kuzingatia maslahi ya jamii.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akisalimiana na baadhi ya watendaji wa Wizara ya iliyokuwa ya Uchukuzi wakati alipotembelea Wizara hiyo ambayo sasa imeunganishwa na Ujenzi na Mawasiliano.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATEMBELEA OFISI ZA ILIYOKUWA WIZARA YA UCHUKUZI NA KUONGEA NA MENEJIMENTI NA WAKUU WA TAASISI LEO ASUBUHI
9 years ago
MichuziWAZIRI MBARAWA AANZA KAZI RASMI WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AFANYA ZIARA OFISI YA BODI YA MFUKO WA BARABARA
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani ameitaka Bodi ya Mfuko wa Barabara kutotuma fedha za ujenzi wa barabara kwa halmashauri yoyote nchini ambayo imetumia fedha walizopelekewa kinyume na malengo yaliyokusudiwa. Na amemwagiza Meneja wa Bodi ya Mfuko wa Barabara kuzichukulia hatua halmashauri zote ambazo zimetumia fedha hizo tofauti na malengo yake ikiwa ni pamoja na kutopelekewa fedha mpaka hapo watakapozijeresha fedha walizozitumia. “Ongezeni nguvu zaidi katika...
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
10 years ago
MichuziWAZIRI MBARAWA ATILIANA SAINI MKATABA WA UTENDAJI NA WENYEVITI WA BODI ZA TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA MAWASILIANO
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,Prof. Makame Mbarawa ameongoza zoezi la utiaji Saini Mkataba wa Utendaji baina yake na Wenyeviti wa Bodi za Taasisi zilizo chini ya Wizara kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zao kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Lengo la Mhe. Waziri kuwekeana saini Mkataba wa Utendaji na Wenyeviti wa Bodi ni kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa majukumu ya Wenyeviti wa Bodi hizo ili kuleta ufanisi na tija kwenye Sekta ya TEHAMA, Sayansi na Teknolojia...
Lengo la Mhe. Waziri kuwekeana saini Mkataba wa Utendaji na Wenyeviti wa Bodi ni kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa majukumu ya Wenyeviti wa Bodi hizo ili kuleta ufanisi na tija kwenye Sekta ya TEHAMA, Sayansi na Teknolojia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/JPEG.-NA.-2-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA BARAZA LA WATUMIAJI WA USAFIRI WA ANGA HAPA NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xgqUI_H51I8/U8ZOFYThh8I/AAAAAAAF2q0/8BBjXtbyj6s/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi ATEMBELEA Wakala wa NDege za Serikali
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgqUI_H51I8/U8ZOFYThh8I/AAAAAAAF2q0/8BBjXtbyj6s/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rAupSsfPB84/U8ZOEz3AWwI/AAAAAAAF2q4/7jE9yYDMv58/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r4VzSBX8LM8/U8QECun5tZI/AAAAAAAF2J4/PRcsgcXa6pE/s72-c/unnamed+(65).jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi atembelea Shirka la Ndege Tanzania (ATCL)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r4VzSBX8LM8/U8QECun5tZI/AAAAAAAF2J4/PRcsgcXa6pE/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHXI4mrizaQ/U8QEFoM5qdI/AAAAAAAF2KA/pBcOnhIc9rI/s1600/unnamed+(64).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania